Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; And yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
 
Na Dotto Bulembo wa DW

Kati ya Mwaka 1995-2000 kulikuwa Na mvutano mkali sana kati ya dola Na Chama cha CUF,dola ilitumia kila mbinu kuaminisha umma hususani wa Wazanzibar Kuwa CUF ni Chama cha kisultan,chenye viashiria vya vurugu.

Siku chache kabla ya Uchaguzi,CUF walituhumiwa kuingiza silaha za jadi Ili kuharibu Uchaguzi,Hali ilikuwa mbaya visiwani Zanzibar,Wazanzibar walianza kubaguana Kwa misingi ya vyama,CUF alikuwa hashirikiani na CCM Kwa chochote Mpaka misiba.

Mwana CCM hakuruhusiwa kwenda kuchota maji Kwenye kisima cha Mwana CUF Kama ilivyokuwa Mwana CUF hakuruhusiwa kwenda kuchota maji Kwenye kisima cha Mwana CCM.

Baadhi ya wachambuzi wa Siasa waliona siyo mwelekeo mzuri na wakashauri yafanyike maridhiano,bahati mbaya hawakusikilizwa,mbinu ya kuwaita CUF Kuwa Chama cha Kisultan,Kigaidi Na kihaini ndiyo ikachaguliwa.

Uchaguzi wa Mwaka 2000 ukafanyika huku ukiacha kilio kikubwa Kwa CUF,sauti zao hazikusikika badala yake wakaendelea kuitwa majina Mabaya Kuwa wanataka kuirejesha Zanzibar Kwa Sultan.

Januari 2001 ukaweka historia mbaya Kwenye Siasa za nchi hii baada ya CUF kuandaa maandamano Na kusababisha kuumana Na dola na kusababisha Vifo,ulemavu Na Baadhi ya watu kuikimbia nchi.

Baada ya hapo ndipo tukaanza kuona Vikao vya maridhiano kati ya CUF na dola vilivyolenga kutibu madonda ya 1995,2000 Na 2001.

Huu ndiyo Mkasa ambao Rais mstaafu wa awamu ya tatu Hayati Benjamini Mkapa ulimuumiza Mpaka anakwenda kaburini.

Dola ijenge utamaduni wa kukutana Na vyama pale kunapokuwa Na sononeko kubwa juu ya Haki Na demokrasia,dola isisubiri Mpaka watu waumizane ndiyo ianze vikao.

Nimekuwa nafuatilia mijadala inayoendeshwa kupitia mtandao wa "Space" Na "Club house",ukienda huko ukawasikiliza watu wanayoyazungumza basi vifua vya watu vina mengi.

"Space" Na "Club house" zinaendesha mjadala unaowashirikisha watu Mpaka 2500 Kwa wakati mmoja huku wakiweka Mpaka maadhimio ya namna ya kupigania haki zao.

Baada ya watu kuzuiwa kukutana Na kujadili masuala ya kisiasa,Sasa wanakutana huko Kwenye Club house Na Space,wanazungumza Kwa hisia na mijadala mikali ni Haki za binadamu.

Space Na Club house imekuwa mbadala wa vyama vya Siasa,Baada ya vyama vya Siasa kuambiwa hakuna vikao,wakikutana wanakamatwa,Sasa watu wanakutana kidigital tena wakiwa huru.

Ni vizuri kuviachia vyama vya Siasa huru vifanye Siasa Kwani ndipo sehemu ambayo watu hupumua Kwa kuzungumza yaliyo moyoni mwao,ukivibana watasaka majukwaa mengine tena yasiyohitaji ruhusa ya polisi.

Dola isipuuze kilio kuhusu Haki za binadamu Na demokrasia,ni vizuri yakafanyika mazungumzo Kati ya Serikali yenye dola,vyama vya Siasa,wataalam,Asasi za Kiraia Na madhehebu ya dini,kilio cha watu ni kikubwa kuhusu Haki Na demokrasia.

Haina haja ya kuamini Kuwa Kuwa watanzania wenye nchi Na watanzania wanaotumika,wote ni watanzania .

Nawaasa Viongozi wa dini,Wasomi na makundi yenye ushawishi iiteni Serikali Na muiambie ipo haja ya kukaa na mijadili Siasa za Tanzania,tujenge utamaduni wa kukaa pamoja Na kusikilizana.

#Equal rights by Peter Tosh
#One love by Bob Marley
#Together as one by Luck Dube
#Amani by Justine Kalikawe
#Amani by Vijana Makongoro
 
CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
 
Wewe siyo mwanasheria ni mchinja kitimoto huwezi kujua haya makitu bwashee!
Bwashee hatujuani humu, hayo ya kitimoto ni matusi ya reja reja, lkn kwa vile wewe ni rafiki yangu namezea. Sheria ni kama oxygen kama hukusoma sheria at your part time, then you must be nuts! nuts indeed John! Katika familia jitahidi kuwa na MD, Wakili, Nurse, . Kwako kukoje? Ni kofia za CCM, fulana, mauaji etc hivyo mnavyo kwa kwenda mbele! :D :D :D :D
 
Back
Top Bottom