kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Nimekuwa nafuatili Sana kesi zilizofunguliwa Kisutu, Mahakama Kuu na Mahakama ya Mafisadi. Mara nyingi Mawakili wa serikali uongozwa na wakili ambaye utambulika Kama "Senior state attorney", kwa kiswahili kisicho rasmi Ni wakili Mwandamizi wa serikali.
Kwangu Mimi maana ya " senior" ni mtu mkubwa kicheo au ni daraja la juu kwenye taasisi na kutoka hapo upandishwa kuwa Mkurugenzi au mkuu wa Idara. Hoja yangu mimi imejitikita kutaka kujua Hawa Mawakili ufikia kuitwa "Senior " kutoka na vigezo gani? Je, nikutokana na promosheni za miaka waliyokaa kwenye cheo kimoja bila kujali amefanya vitu gani? Je uajiriwa moja kwa moja katika cheo hiki? Upendekezwa na timu flani ya watu? Na Kama upendekezwa je vigezo vya usahili huwa ni vipi?
Naomba wale ambao mnajua wanapatikanaje Hawa watu mtusaidie kwa sababu aidha hatuna watu sahihi waliopewa hivi vyeo au mfumo mbovu unaotumika ndio unaozalisha aina hii ya watu au upo upendeleo wakuwapata watu wasio na sifa nakuwapa hizi nafasi au vinginevyo.......kinachotokea mahakama ya Mafisadi kwamba wakili wa serikali anashindwa hata kuuliza maswali na ndiye Kiongozi wa jopo la mawakili kinafikirisha sana kuhusu uwezo wa uelewa na umairi wa watendaji Hawa. Nakumbuka walikuwepo akina nchimbi nao walikuwa wa sampuli hii hii, tatizo lipo wapi?
Niombe tujadili may be kupitia mjadala huu na kwakuzingatia wote tumesoma humu kinachotokea kwenye kesi ya Ugaidi inayoendelea Waziri wa Sheria, Katibu mkuu wake na DPP atajifunza kitu. Tukumbuke Hawa seneor ndio wawakilishi wetu kwenye kesi hata za nje vinginevyo ukachukua waalimu vyuoni ambao pia Naamini hawana uzoeefu.
Tujadili kadhia hii ya kitaaluma tunayoiona tulisaidie Taifa.
Kwangu Mimi maana ya " senior" ni mtu mkubwa kicheo au ni daraja la juu kwenye taasisi na kutoka hapo upandishwa kuwa Mkurugenzi au mkuu wa Idara. Hoja yangu mimi imejitikita kutaka kujua Hawa Mawakili ufikia kuitwa "Senior " kutoka na vigezo gani? Je, nikutokana na promosheni za miaka waliyokaa kwenye cheo kimoja bila kujali amefanya vitu gani? Je uajiriwa moja kwa moja katika cheo hiki? Upendekezwa na timu flani ya watu? Na Kama upendekezwa je vigezo vya usahili huwa ni vipi?
Naomba wale ambao mnajua wanapatikanaje Hawa watu mtusaidie kwa sababu aidha hatuna watu sahihi waliopewa hivi vyeo au mfumo mbovu unaotumika ndio unaozalisha aina hii ya watu au upo upendeleo wakuwapata watu wasio na sifa nakuwapa hizi nafasi au vinginevyo.......kinachotokea mahakama ya Mafisadi kwamba wakili wa serikali anashindwa hata kuuliza maswali na ndiye Kiongozi wa jopo la mawakili kinafikirisha sana kuhusu uwezo wa uelewa na umairi wa watendaji Hawa. Nakumbuka walikuwepo akina nchimbi nao walikuwa wa sampuli hii hii, tatizo lipo wapi?
Niombe tujadili may be kupitia mjadala huu na kwakuzingatia wote tumesoma humu kinachotokea kwenye kesi ya Ugaidi inayoendelea Waziri wa Sheria, Katibu mkuu wake na DPP atajifunza kitu. Tukumbuke Hawa seneor ndio wawakilishi wetu kwenye kesi hata za nje vinginevyo ukachukua waalimu vyuoni ambao pia Naamini hawana uzoeefu.
Tujadili kadhia hii ya kitaaluma tunayoiona tulisaidie Taifa.