Wakili: Mwanasheria mkuu, Katibu mkuu wizara, Kamishna polisi, wamejulishwa kupuuzwa amri ya mahakama, wapo kimya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,814
18,793
Wakili wa wahanga wa bomoabomoa Kimara Innocent Mwelelwa anasema waliaandikia barua kwa Mwanasheria mkuu wa serikali juu ya kuvunjwa kwa amri ya mahakama ya kuzuia bomoabomoa na kuipokea barua hiyo 23/8/2017, mahakama ilijulishwa pia, katibu mkuu wizara ya uchukuzi, kamishna wa polisi kanda ya Dar, Kamishna wa Polisi wilaya ya Kinondoni wote walipata taarifa juu ya kukiukwa amri ya mahakama na Tanroads wamepokea barua hizo na kupiga muhuri na saini

Taasisi zote za serikali zimepokea barua na kugonga muhuri,meneja wa kanda Tanroads pia amepewa barua mara tatu juu ya ukiukwaji wa amri ya mahakama ila hakuna alichofanya na hivyo wao kusema hawana taarifa sio sawa sawa

 
Wakili wa wahanga wa bomoabomoa Kimara Innocent Mwelelwa anasema waliaandikia barua kwa Mwanasheria mkuu wa serikali juu ya kuvunjwa kwa amri ya mahakama ya kuzuia bomoabomoa na kuipokea barua hiyo 23/8/2017, mahakama ilijulishwa pia, katibu mkuu wizara ya uchukuzi, kamishna wa polisi kanda ya Dar, Kamishna wa Polisi wilaya ya Kinondoni wote walipata taarifa juu ya kukiukwa amri ya mahakama na Tanroads wamepokea barua hizo na kupiga muhuri na saini

Taasisi zote za serikali zimepokea barua na kugonga muhuri,meneja wa kanda Tanroads pia amepewa barua mara tatu juu ya ukiukwaji wa amri ya mahakama ila hakuna alichofanya na hivyo wao kusema hawana taarifa sio sawa sawa


Hawa wanaokiuka amri hizi za mahakama leo kuna siku sio leo wala kesho watasimama mahakamani kujibu hizi tuhuma. Naamini wakati huo anaewapa uwezo wa kukiuka amri za mahakama hatakuwepo. Tunapopewa vi mamlaka kidogo tunajisahau mbaya zaidi hatujui kuna leo na kesho!
 
Mahakama imepuuzwa na kudharauliwa sana. Ni bora mkuu wa mhimili huo akafakari hiyo nafasi yake kwa makini na kufanya maamuzi sahihi!
Ina mkuu sasa !! Mkuu mwenyewe anakaimu akisubiri mkuu aletwe na anaye mleta huyo mkuu ndio huyo huyo anaetoa maagizo kutoka juu
 
watu wa dar na nyie sasa ni muda wenu wa kuchukua sheria mkononi,kama mahakama imeshindwa mnategemea haki itoke wapi?
 
Back
Top Bottom