Wakili Musa Rajabu Mfinanga afariki dunia baada ya kupata Changamoto ya Upumuaji

Ni wajibu wa serikali kuhakikisha simba hachanganyiki kwenye makazi ya watu.

Kwa hiyo hakuna sababu ya watu kuhangaika na simba wakati serikali inatimiza wajibu wake. Kama haitimizi wajibu wake ipasavyo, kama ilivyo sasa, hao wasioweza kukimbia wasiliwe na simba wao hawapendi kuishi?

Sasa niseme tu, kwa sababu ya upofu wa kisiasa, inawezekana usielewe nilichoandika. Inasikitisha sana watu wenye akili nzuri kupofushwa na siasa kiasi hiki.
Umejibu nilichouliza au unajibu ulichokariri?Yaani unaleta story za WAJIBU kwenye ishu ambazo akili yako inakuambia ni HATARI?Njia zote za kujikinga unazijua, kwanini USIZIFUATE?
 
By Mchambuzi kupitia Twitter:

TANZIA
Wapendwa nasikitika kutangaza kwamba rafiki yangu wakili msomi Musa Rajabu Mfinanga ameaga dunia leo kwa changamoto ileile

Tafadhali tuchukueni hatua.
Poleni wanasheria wote na mhimili wa mahakama https://t.co/wkTgZcsFLq
kama ime thibitishwa na daktari weka cheti cha kifo ili tuamini unacho kisema, kama huna ni bora ukakaa kimya kuliko kuandika kitu usicho kijua.

tuache tabia ya kukopi maneno uliyo yakuta twita au uliyo yasikia.
huo unaitwa uzushi.

haina maana tusijihadhari ila tusisingizie kila anaye kufa basi kafa kwa matatizo ya korona /upumuaji,

je unajuaje kama sio ukimwi? au saratani? au presha?

tusizushe mambo tusiyo yajua, kwani utapungukiwa nini haswa ukikaa kimya.

kama ni presha, ama ukimwi ama saratani ndugu zake ndio wanajua basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ime thibitishwa na daktari weka cheti cha kifo ili tuamini unacho kisema, kama huna ni bora ukakaa kimya kuliko kuandika kitu usicho kijua.

tuache tabia ya kukopi maneno uliyo yakuta twita au uliyo yasikia.
huo unaitwa uzushi.

haina maana tusijihadhari ila tusisingizie kila anaye kufa basi kafa kwa matatizo ya korona /upumuaji,

je unajuaje kama sio ukimwi? au saratani? au presha?

tusizushe mambo tusiyo yajua, kwani utapungukiwa nini haswa ukikaa kimya.

kama ni presha, ama ukimwi ama saratani ndugu zake ndio wanajua basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zamu yako haiko mbali, we endelea tu kupuuza haya mambo na kuleta propaganda.
 
Haisaidii kivipi wakati unaweza kuwaambia watoto wako hakuna kutoka nje, vaeni barakoa. ..
Hii vita haiishii kwenye kuvaa barakoa tu Jombaa, tena kwa takwa la baba wa familia.

Hata kama ni wajibu wa kila mtu na familia yake kuchukua individual efforts, ninachosema ni kwamba lazima Serikali itoke na kauli thahiti na guidelines za kufuatwa kwenye sehemu kama mashuleni, kwenye magari ya kubeba watoto nk

Tukiachwa hivi, yes, unaweza kumwambia mwanao avae barakoa ila akifika shuleni anakutana na mwalimu ambae havai wala shuleni hakuna miundombinu ya kunawa mikono kwa kuwa hakuna guideline wala means za kuenforce hizi directives

Kuna tararibu stahiki za kupambana na magonjwa ya milipuko, led by the Government na ndicho tunachokisema kifanyike hapa
 
'
JamiiForums2049870508.jpg
 
Hii vita haiishii kwenye kuvaa barakoa tu Jombaa, tena kwa takwa la baba wa familia.

Hata kama ni wajibu wa kila mtu na familia yake kuchukua individual efforts, ninachosema ni kwamba lazima Serikali itoke na kauli thahiti na guidelines za kufuatwa kwenye sehemu kama mashuleni, kwenye magari ya kubeba watoto nk

Tukiachwa hivi, yes, unaweza kumwambia mwanao avae barakoa ila akifika shuleni anakutana na mwalimu ambae havai wala shuleni hakuna miundombinu ya kunawa mikono kwa kuwa hakuna guideline wala means za kuenforce hizi directives

Kuna tararibu stahiki za kupambana na magonjwa ya milipuko, led by the Government na ndicho tunachokisema kifanyike hapa
Mkuu Unafikir kungekua na HATARI unayoiona Huko mashuleni hadi leo tungekua hatupati report za hatari kutoka kwa watoto wetu?
 
Back
Top Bottom