Wakili Musa Rajabu Mfinanga afariki dunia baada ya kupata Changamoto ya Upumuaji

Hii tunayoiita changamoto ya upumuaji badala ya kuiiita Corona tusipokubali na kujikinga tutaangamia kwa sababu tumekubali kumwachia mtu mmoja afanye anavyojua yeye tuu.Cjui anasubuli Watz wangapi wafe kwa corona ndo akubari kuchukua measures.
Ipo siku atastuka lakini atakuwa amechelewa
 
Kuna watu wanalalamika sirikali ichukue hatua wakati ukimuuliza huyo mtu hatua zipi unataka sirikkali ikutangazie ambazo wewe huzijui na umezuiwa kuzifuata na sirikali, hajui.
Shida ipo hapo!

Lakini Serikali ikideclare officially kwamba kuna gonjwa, responsible medical officials kwanza watakuwa free kufanya kazi zao bila hofu, wataanzisha ile kitu inaitwa emergency operation center na kuanza kutrace cases.

Probably kuna measures zitawekwa kama kuanza kudemand covid19 negative certificate kwa wageni wote, kulazimisha masks maofisini, kupeleka PPEs hospitalini na kuhakikisha othee preventive measures zimewekwa katika sehemu za public, etc etc

Kwa kifupi kauli ya Serikali ni muhimu sana kuliko janjajanja za sasa na kauli zao za mafumbo.
 
Tuchukue tahadhari zote, hata wasipotangaza tukumbuke na tukumbushane kunawa mikono na kuvaa barakoa,
Leoo ni mepata taarifa ya bwana mmoja aliyeugua 'pneumonia', baba mzazi akaja kusalimia mgonjwa, kurudi nyumbani naye akaugua akafariki ilikuwa mazishi jumatatu ,ila mkewe kafariki leo jumapili.
Tujihadhari kwa ajili yetu na wapendwa wetu
 
Hii tunayoiita changamoto ya upumuaji badala ya kuiiita Corona tusipokubali na kujikinga tutaangamia kwa sababu tumekubali kumwachia mtu mmoja afanye anavyojua yeye tuu.Cjui anasubuli Watz wangapi wafe kwa corona ndo akubari kuchukua measures.
Kwani Ukimuona Simba anakuja utasubiri amri ya kimbia au simama?
 
Kipindi hiki shughuli za mahakama zimefungwa, mnazurura wapi, stay home
By Mchambuzi kupitia Twitter:

TANZIA
👉Wapendwa nasikitika kutangaza kwamba rafiki yangu wakili msomi Musa Rajabu Mfinanga ameaga dunia leo kwa changamoto ileile

Tafadhali tuchukueni hatua.
Poleni wanasheria wote na mhimili wa mahakama https://t.co/wkTgZcsFLq
 
Shida ipo hapo!

Lakini Serikali ikideclare officially kwamba kuna gonjwa, responsible medical officials kwanza watakuwa free kufanya kazi zao bila hofu, wataanzisha ile kitu inaitwa emergency operation center na kuanza kutrace cases.

Probably kuna measures zitakwekwa kama kuanza kudemand covid19 negative certificate kwa wageni wote, kulazimisha masks maofisini, kupeleka PPEs hospitalini na kuhakikisha, etc etc

Kwa kifupi kauli ya Serikali ni muhimu sana kuliko janjajanja za sasa na kauli zao za mafumbo.
Mkuu kwanini wewe na family yako msichukue HATUA?
 
By Mchambuzi kupitia Twitter:

TANZIA
👉Wapendwa nasikitika kutangaza kwamba rafiki yangu wakili msomi Musa Rajabu Mfinanga ameaga dunia leo kwa changamoto ileile

Tafadhali tuchukueni hatua.
Poleni wanasheria wote na mhimili wa mahakama https://t.co/wkTgZcsFLq
RIP. Everybody is sharing the same danger. Huu ugonjwa haungalii usomi wala hela wala madaraka
 
Wafuasi wa CCM wanakerwa sana na hizi taarifa za misiba! Sijui ni kwa nini!!
Ok, kwahiyo kuna wafuasi wa vyama vingine wanafurahishwa na taarifa hizi⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️🤔🤔🤔🤔🤔😰
 
Mkuu kwanini wewe na family yako msichukue HATUA?
Mimi nachukua ila haisaidiii sana kama mimi ninachukua harafu wewe na yule hamchukui.

Serikali ina wajibu mkubwa kwenye hili na hatuwezi kuachiwa kila mtu apambane kivyake huku viongozi wetu wanapishana kauli
 
Mi nafikiri ungefunguliwa uzi wa measures zinatotakiwa zichukuliwe na kutangazwa na sirikali ili kusudi watanzania wazifuate.

Kuna watu wanalalamika sirikali ichukue hatua wakati ukimuuliza huyo mtu hatua zipi unataka sirikkali ikutangazie ambazo wewe huzijui na umezuiwa kuzifuata na sirikali, hajui.

Au mnataka Lockdown ndio ionekane hatua zimechukuliwa!

Au nasema uongo ndugu zangu.
Sitaki wala sipendi kusikia habari kwamba kuna watu wamekwenda hospitali fulani kukosa kitanda au oxygen wakati Wizara ya Afya inasema hakuna tatizo na hospitali zipo wazi / tupu..., Hapo kuna matatizo sehemu na hata kama zipo wazi je tumejiandaa kama hali ikiwa mbaya kuhakikisha watu wengi iwezekanavyo wanapata huduma wakizidiwa...,

In short serikali ina wajibu wa afya kwa raia wake..., na kama kweli imeona zile kachumbari ni dawa ya Corona kuliko chanjo au chohote kile badala ya kufanya fursa na kupiga pesa ningewaona wa maana ile kachumbari wangeifanya bei ya kutupwa au kugawa chupa kwa kila kaya (si inatibu ? au ?)
 
Mimi nachukua ila haisaidiii sana kama mimi ninachukua harafu wewe na yule hamchukui.

Serikali ina wajibi mkubwa kwenye hili na hatuwezi kuachiwa kila mtu apambane kivyake huku viongozi wetu wanapishana kauli
Haisaidii kivipi wakati unaweza kuwaambia watoto wako hakuna kutoka nje, vaeni barakoa. Kwanini usiisaidie family yako kwa kuchukua hatua kama hizi?Hata wageni wakija kwako unawaambia. Sifikiri kama umeona Simba utasubiri amri ya kujihami wakati unajua nn cha kufanya.
 
Ok, kwahiyo kuna wafuasi wa vyama vingine wanafurahishwa na taarifa hizi⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️🤔🤔🤔🤔🤔😰
Kwa akili za kiccm ni ngumu sana kuelewa nilicho maanisha.
 
Kwani Ukimuona Simba anakuja utasubiri amri ya kimbia au simama?
Ni wajibu wa serikali kuhakikisha simba hachanganyiki kwenye makazi ya watu.

Kwa hiyo hakuna sababu ya watu kuhangaika na simba wakati serikali inatimiza wajibu wake. Kama haitimizi wajibu wake ipasavyo, kama ilivyo sasa, hao wasioweza kukimbia wasiliwe na simba wao hawapendi kuishi?

Sasa niseme tu, kwa sababu ya upofu wa kisiasa, inawezekana usielewe nilichoandika. Inasikitisha sana watu wenye akili nzuri kupofushwa na siasa kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom