- Thread starter
- #41
Kumbe ndivyo ilikuwa!..Dr.Tulia anajiandaa kugombea Uraisi.
..mashindano ya ngoma, riadha, na misaada inayotolewa na taasisi yake, lengo ni kugombea Uraisi.
..Na Dr.Tulia alikuwa ni chaguo la mwendazake kati ya wanasiasa ambao angependa wamrithi.