mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ
Wewe unaitwa Nabii nani Mkuu??Mimi nataka ianze kuwala mawaziri
Nasubiri kwa hamu sana
Nadhani ikianza na mawaziri,ndio wataelewa kuna watu wanakufa TZ hii....
Ndani ya siku tatu au nne from now,kuna waziri or mbunge or somthing,lazima afeee
huo u lord wanaupataje mana sisi huku hatuna mambo hayo. Ama naye alikua ni member of the freepeople mana wao ndo wana majina hayo ya kizungu sijui grandmaster nk.
Duuuuih hatareeeeh sanaaah.View attachment 1687942
MASHARTI YA MAZISHI YA BW. NICHOLAUS IMBIANDUMI NDAASHUKA MUNUO @ _Lord MUNUO!!!
Aliyefariki tarehe 25 hosipitali ya KCMC
LORD MUNUO, Wakili maarufu wa Arusha, ametamgulia mbele za haki.
MASHARTI YAKE:
1. Atazikwa na ngozi bila jeneza na amesema atazikwa na ngozi ya Chui
2. Mwili wake utafungwa na masago ya migomba
3. Anazikwa mwenye zizi la ng'ombe ambalo lipo maji ya chai ambako alikuwa anafuga mifugo yake
4. Kaburi lake litawekwa Kinyesi cha ngombe tu bila udongo
5. Hakuna kuomboleza
6. Walioalikwa tu ndio watakaohudhuria mazishi kwa maana ya wanafamilia tu
7. Anazikwa kimila na familia yake na hakuna kanisa au msikiti uloalikwa
8. Jina lake ni Nicholas Imbiandumi Ndaashuka Munuo ila alienda kuapa mahakamani akajibadolisha jina akaitwa Lord Ng'uni Imbiandumi Ndaashuka Munuo. Ng'uni ni kijiji alichozaliwa
9. Ng'uni ndiko makao makuu ya Bantu Union ambako yeye ndiuo founder wake alikuwa na president wake
Mengine naendelea kuyafuatilia kuna masharti inasemekana 100 yameandikwa kisheria.
Credit
Even Nassary