jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,690
- 7,556
Siku hizi hata watu wakifa sababu ikiwa abortion, bado utaambiwa ni Corona!!Ni kweli cha,msingi kuchukua tahadhari kubwa mno.
Huu ugonjwa ukikukuta una sukari au presha, ni kama umepuliza puto alafu, ukachukua sindano ukaipeleka moja kwa moja kwenye puto kitakacho tokea nadhani unajua.