Kuna Vitu Mnachanganya, Uwakili hauna uhusiano na kuwa mwanachama wa TLS: Leseni ya Uwakili anatoa Jaji Mkuu (Thats the Law). So hata mtu asipokuwa mwanachama wa TLS, bado Uwakili wake uko palepale (SOMENI SHERIA MZIELEWE NA MSIZITAFSIRI KWA MIHEMKO YA KISIASA etc). Hayo Mengine uliyoandika hapo ni UONGO tu. Hivi chama cha madaktari kikifutwa, Tanzania inakuwa haina madaktari??? Muwe nafikiria kwanza kabla ya kuandika jambo. TLS ni chama cha mawakili, TLS sio kigezo cha mtu kuupata Uwakili (Jamani someni sheria na muache upotoshaji).Acha kukurupuka kama hujui bora kunyamaza kimya leta hizo sheria unaosema wewe
Kuna Vitu Mnachanganya, Uwakili hauna uhusiano na kuwa mwanachama wa TLS: Leseni ya Uwakili anatoa Jaji Mkuu (Thats the Law). So hata mtu asipokuwa mwanachama wa TLS, bado Uwakili wake uko palepale (SOMENI SHERIA MZIELEWE NA MSIZITAFSIRI KWA MIHEMKO YA KISIASA etc). Hayo Mengine uliyoandika hapo ni UONGO tu. Hivi chama cha madaktari kikifutwa, Tanzania inakuwa haina madaktari??? Muwe nafikiria kwanza kabla ya kuandika jambo. TLS ni chama cha mawakili, TLS sio kigezo cha mtu kuupata Uwakili (Jamani someni sheria na muache upotoshaji).
Mimi ni Wakili wa Kujitegemea, Ninajua Nachoongea. NAKUJIBU TENA HIVI; Kuna Vitu Mnachanganya, Uwakili hauna uhusiano na kuwa mwanachama wa TLS: Leseni ya Uwakili anatoa Jaji Mkuu (Thats the Law). So hata mtu asipokuwa mwanachama wa TLS, bado Uwakili wake uko palepale (SOMENI SHERIA MZIELEWE NA MSIZITAFSIRI KWA MIHEMKO YA KISIASA etc). Hayo Mengine uliyoandika hapo ni UONGO tu. Hivi chama cha madaktari kikifutwa, Tanzania inakuwa haina madaktari??? Muwe nafikiria kwanza kabla ya kuandika jambo. TLS ni chama cha mawakili, TLS sio kigezo cha mtu kuupata Uwakili (Jamani someni sheria na muache upotoshaji).Acha kukurupuka kama hujui bora kunyamaza kimya leta hizo sheria unaosema wewe
Soma Advocates Act uone sifa za Mwanasheria Kuwa Wakili. Wakili ni lazima awe Mwanasheria ila sio kila Mwanasheria ni WAKILI. Na Pia, LESENI YA UWAKILI ANATOA JAJI MKUU na sio TLS. Uanachama wa TLS sio kigezo au sifa ya mtu kupewa leseni ya Kuwa Wakili na Jaji Mkuu. Sitakujibu tena kama bado huelewi.Sheria zipi hizo?
Mimi ni Wakili wa Kujitegemea, Ninajua Nachoongea. NAKUJIBU TENA HIVI; Kuna Vitu Mnachanganya, Uwakili hauna uhusiano na kuwa mwanachama wa TLS: Leseni ya Uwakili anatoa Jaji Mkuu (Thats the Law). So hata mtu asipokuwa mwanachama wa TLS, bado Uwakili wake uko palepale (SOMENI SHERIA MZIELEWE NA MSIZITAFSIRI KWA MIHEMKO YA KISIASA etc). Hayo Mengine uliyoandika hapo ni UONGO tu. Hivi chama cha madaktari kikifutwa, Tanzania inakuwa haina madaktari??? Muwe nafikiria kwanza kabla ya kuandika jambo. TLS ni chama cha mawakili, TLS sio kigezo cha mtu kuupata Uwakili (Jamani someni sheria na muache upotoshaji).
Usifikiri kila anayepingana na wewe ni wakuchukua buku 7 unapotea wewe mbulula wa cdmWewe leo ndo upo zamu?kachukue buku 7 lumumba huna hoja.
Upo sahihi kwa nini mnawaita wakili msomi? kwani mtu anaweza kuwa wakili na asipitie shule? mbona hamsemi daktari msomi? wahasibu wasomi? wahandisi wasomi? rekebisheni naona mnakosea kuweka hicho kivumishi cha sifa katika fani ya Elimu...
Wewe endelea kufikiria kimasabuli tu na endelea kuota ndoto kuwa Mwakyembe atafutwa TLS kama unavyoaminishwa na bwana zakoSawa mwanasheria wa CCM.
Hiyo inatofautisha vizuri zaidi.Upo sahihi kwa nini mnawaita wakili msomi? kwani mtu anaweza kuwa wakili na asipitie shule? mbona hamsemi daktari msomi? wahasibu wasomi? wahandisi wasomi? rekebisheni naona mnakosea kuweka hicho kivumishi cha sifa katika fani ya Elimu...
Wewe endelea kufikiria kimasabuli tu na endelea kuota ndoto kuwa Mwakyembe atafutwa TLS kama unavyoaminishwa na bwana zako
What's your problem, kid!
Endelea kuota mbulula weweSo jambo la kwanza kwa mawakili wakifika Arusha tar 17 March, kabla ya kupiga kura ya kumchagua Lissu kuwa Rais wao, wanapaswa wapige kura ya kumfuta uanachama wa TLS Mwakyembe.
Unaunga mkono uamuzi huu?
Nani anajali hizo chuki zako!Nimetokea kulichukia sana hili neno wakili msomi
Endelea kuota na uhisi nimepanicMbona unapiki? ??