sisya
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 264
- 96
Wakili maarufu Maro Advocaat amekuwa anatumia umaarufu wake kutapeli wajane,Maro alishiriki kutapeli nyumba ya marehemu Yese aliyekuwa mchimbaji maarufu wa madini ya Tanzanite,nyumba hiyo akamuuzia mzungu Mark.
Sasa hivi ameingilia familia ya marehemu Christopher Kahangi kiwanja namba 50 corridor area wakishirikiana na PASTOR wa Pool of Siloam Arusha anaposali mtoto wa Christopher Kahangi anayeitwa Ruta ambaye akili zake sio sawa.
Pastor akishiriana na Advocaat Maro wamemlangai Ruta akaiba hati na kumkabidhi Maro.Maro anahusika pia kumtapeli Kanunga kiwanja kilichopo jirani na Mount meru hotel.
Mama Juliana Kahangi tumemuuliza kama amempa mamlaka PASTOR na Rutta ya kuuza nyumba alikana kabisa.Mama Juliana Kahangi anasema nyumba ipo chini ya msimamizi Bwana Asafu.
Maro anadai amepewa account namba ya PASTOR aweke hela na Ruta anataka kufanya kama alivyoifanyia familia ya marehemu Yese.
Sasa hivi ameingilia familia ya marehemu Christopher Kahangi kiwanja namba 50 corridor area wakishirikiana na PASTOR wa Pool of Siloam Arusha anaposali mtoto wa Christopher Kahangi anayeitwa Ruta ambaye akili zake sio sawa.
Pastor akishiriana na Advocaat Maro wamemlangai Ruta akaiba hati na kumkabidhi Maro.Maro anahusika pia kumtapeli Kanunga kiwanja kilichopo jirani na Mount meru hotel.
Mama Juliana Kahangi tumemuuliza kama amempa mamlaka PASTOR na Rutta ya kuuza nyumba alikana kabisa.Mama Juliana Kahangi anasema nyumba ipo chini ya msimamizi Bwana Asafu.
Maro anadai amepewa account namba ya PASTOR aweke hela na Ruta anataka kufanya kama alivyoifanyia familia ya marehemu Yese.