barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,322
- 29,583
Chadema wanamuandaa TL kugombea urais ndio maana wako very theatrical of late to every opportunity they get.Mungu atusaidie tupate hekima na maarifa ktk kuamua mambo. Rais kuwa TL? Naomba Mungu atusimamie na awape watz uelewa juu ya hii mipango yenu. Hivyo kwa sasa Lowassa nafasi ya kugombea ni finyu sana kama TL kashaanza kutengeneza njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa kusema atagombea urais 2020 ni garasa!