huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,519
- 1,462
Ndaylagije tofautisha uchaguzi huru wa S Africa na ghasia hii ya wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya wanaorimitiwa matokeo yawe je!!!Hivi hii ni nini!Mandela alipata uraisi wa huruma!!basi haya,ngoja tusubiri huruma ya wapiga kura.
Wala sioni tatizo katika kutosha au kutotosha kwake mkuu,ila ninaona tatizo kuwa ategemee kura za huruma,coz haitamsaidia kuongoza.Ndaylagije tofautisha uchaguzi huru wa S Africa na ghasia hii ya wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya wanaorimitiwa matokeo yawe je!!!
Otherwise Tundu Lissu anafaa tu hakuna anachokikosa sema hapa hakuna chaguzi huru na za haki
Unamjua Besigye au unaandika tumpinzani yeyote anaingia kwenye chamma cha upinzani kisiasa in a soft way hawezi kuwa mpinzani..natolea mfano mpinzani WA Uganda Mr besigye...hivi kwa tabu alizozipata atanunulika kirahisi?kwa sasa mpinzani Tanzania Ni mbowe na lisu wengine wote wananunulika na sitashangaa wakinunuliwa
Hii posti imekata maini watu aisee!2020 hakutakuwa na Mbunge wa upinzani.....
Yeye anazungumzia Urais???
Unamjua Besigye au unaandika tu
Hii posti imekata maini watu aisee!
Yes one dayOne day yes.