MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Hiyo nukuu ya mzee naweza ipata wapi mkuu?Ukiachana na nunuanunua 2020 wagombea wa ccm watatangazwa kwa nguvu hata kama wameshindwa kihalali
Hapo utarajie vurugu na wengi kuumizwa na kuwa vilema wa kudumu......
Wengine watafungwa cku chache kabla uchaguzi......
Kumbuka Mzee kashasema nikuteue mm nikulipe mm halfu uje umtangaze mgombea wa upinzani unahisi nani anataka kibarua chake kuota sangari????
Huyu kiongizi tulienae siyo kiongozi bali ni kiongozi mshamba.........