Wakili Fatma Karume kuhusu kilichojiri polisi dhidi ya Lissu

Haya basi tuone kama hicho Kiingereza feki kitamtoa huyo Lisu toka kolokoloni.
kukaa jela/sero kwa kesi za kubambikiziwa ni suala la kawaida sana katika nchi zinazoongozwa kidhalimu yeye sie wa kwanza na wala hatakuwa wa mwisho,amekaa nabii yusuf,amekaa mandela miaka ishirini naa,wamekaa viongozi wa dini zenji miaka minne mimi mwenyewe nimekaa huko masiku kadhaa lakini leo niko uraiani,mwanaume haogopi jela,hususan kwa kesi za kusingiziwa.
Haya basi tuone kama hicho Kiingereza feki kitamtoa huyo Lisu toka kolokoloni.
 
I cosign to her sentiments.

Tundu Lissu is unhinged.

They should just let him be because most folks can see right through the BS he spews.

No need to waste resources on a deranged individual who doesn't pose any kind of a serious threat.
Mfkishie sizonje huu ujumbe wako kwa kiswahili em myb atakuelewa

try me
 

Mag3

Hey dirty dog curmudgeon....who let you out of your senior citizen digs [or nursing home, if you will]?

Mind your own business.

Can't even quote me right.

Go pleasure yourself.
 
Ebungoja nitafasiri ingawa sio rasmi:

Kwa mujibu wa Fatma Karume

Nilikwenda kumwakilisha Tundu Lissu kwenye Kituo cha Polisi cha Kati jioni hii. Alishtakiwa kwa kuomba / kusisimua kinyume na kifungu cha 390 cha Kanuni ya Adhabu. Niliuliza ni nani polisi anafikiri aliomba / kushawishi na uhalifu gani Tundu alimshawishi mtu huyu kufanya. Jibu nililopokea lilikuwa "Bado tunachunguza!" Niliomba polisi kumpa dhamana. Walikataa kufanya hivyo kwa kuwa "Watu wa juu ndiyo watoamua!" Kwa hiyo, mwanachama wa Bunge na Rais wa Sheria ya Sheria hutumia usiku usiku chini ya ulinzi wa polisi kwa kudai kuomba / kuchochea mtu asiyejulikana kufanya kosa lisilojulikana ambalo polisi bado wanachunguza. Hii ni matumizi mabaya ya kukamatwa kwa polisi ambayo inapaswa kuhukumiwa na Watanzania wote wanaofikiri!
Doh! Ungeiacha tu kwenye kiingereza cha kisheria!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebungoja nitafasiri ingawa sio rasmi:

Kwa mujibu wa Fatma Karume

Nilikwenda kumwakilisha Tundu Lissu kwenye Kituo cha Polisi cha Kati jioni hii. Alishtakiwa kwa kuomba / kusisimua kinyume na kifungu cha 390 cha Kanuni ya Adhabu. Niliuliza ni nani polisi anafikiri aliomba / kushawishi na uhalifu gani Tundu alimshawishi mtu huyu kufanya. Jibu nililopokea lilikuwa "Bado tunachunguza!" Niliomba polisi kumpa dhamana. Walikataa kufanya hivyo kwa kuwa "Watu wa juu ndiyo watoamua!" Kwa hiyo, mwanachama wa Bunge na Rais wa Sheria ya Sheria hutumia usiku usiku chini ya ulinzi wa polisi kwa kudai kuomba / kuchochea mtu asiyejulikana kufanya kosa lisilojulikana ambalo polisi bado wanachunguza. Hii ni matumizi mabaya ya kukamatwa kwa polisi ambayo inapaswa kuhukumiwa na Watanzania wote wanaofikiri!
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika
 
Back
Top Bottom