Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Wakuu, salaam!
Wakili Msomi, Jebra Kambole ameibukia Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kupinga matokeo ya Urais kutopingwa mahakamani
Katika hoja alizowakilisha, Wakili msomi anaitaka Mahakama iipitie ibara 41 (7) ya Katiba ya Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania inayosema “Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake” na kuona kama inakiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu.
Ibara ya Katiba ambayo Wakili Jebra ameamua kuiendea Mahakamani
Majibu ya Mahakama ya Afrika:
My take:
Hii ni move nzuri, tunaita “Strategic Litigation” maana ina maslahi ya wengi.
Tutarajie nini baada ya hapa?
Wakili Msomi, Jebra Kambole ameibukia Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kupinga matokeo ya Urais kutopingwa mahakamani
Katika hoja alizowakilisha, Wakili msomi anaitaka Mahakama iipitie ibara 41 (7) ya Katiba ya Jamhuri wa Muuungano wa Tanzania inayosema “Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake” na kuona kama inakiuka Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu.
Ibara ya Katiba ambayo Wakili Jebra ameamua kuiendea Mahakamani
Majibu ya Mahakama ya Afrika:
My take:
Hii ni move nzuri, tunaita “Strategic Litigation” maana ina maslahi ya wengi.
Tutarajie nini baada ya hapa?