Mheshimiwa JaJi, usiopokee barua za watuhumiwa hawa,ni TAKATAKA tu hizo. Zitakuchafua mikono JaJi wetu wa serikali.MAHAKAMA SIO MAMA ZENU
Ni kweli kabisa kule hakuna cha kusema umekiuka kanuni au sheria bali ni ukweli tu unatafutwa!Turudi kwenye mabaraza ya kimila kuamua kesi zetu. Mahakama tuachane nayo ishapoteza mwelekeo.
Inashangaza sana wakili kumkoromea Jaji!nchi ya kusadikika hii
Wanatia aibu sanamawakili wa serikali hadi nawaonea huruma
Hii ni point ndugu kwa mwenendo huu bora wafanye hivyo Kama katiba mama inaruhusu.Hivi hamna namna kwa hii kesi washitakiwa kuomba isikilizwe na majaji/jaji kutoka nchi zingine wanachama wa jumuia ya madola?
Huyo hapo na wakili wake na ushahidi wao.Mwenye picha ya Chavula tafadhali
Allaaa! Kumbe ndo huyuHuyo hapo na wakili wake na ushahidi wao.View attachment 2025220
Yule mpumbavu aliyefariki ameharibu mambo mengi sana. Mifumo imepooza kwa sababu yake.Kauli hiyo aliitoa wakili mwandamizi wa serikali Bw. Chavula jana tarehe 26 Novemba 2021 katika kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe ndani ya Mahakama Kuu ya uhujumu uchumi jijini Dar es Salaam. Nini maana ya kauli hii?
Je, ni kwamba hakuna tena muhimili wa mahakama? Na kwamba mahakama na serikali ni kitu kimoja kwa mujibu wa katiba?
Je, uhuru wa mahakama tayari umepokwa na serikali?
Je, wananchi tutegemee nini tunapokuwa mbele ya Mahakama?
Je, mahakama ina uwezo wa kutoa haki bila kuingiliwa na serikali?
Ni maswali mengi ambayo yamo vichwani mwetu yanayotakiwa kupatiwa majibu vinginevyo mahakama inaelekea kupoteza hadhi yake kama muhimili inayojitegemea.
Na mahakama kurudishiwa makali yake ni mpaka utaratibu mpya wa kiuongozi ufanyika. WAR ndiyo suluhisho.
I think the opposite is correct! Wewe unapotosha officer of the court is not the same as the advocate of judiciary! Ndiyo sababu hata Jaji alimshangaa Chavula! Mawakili wote wawe wa serikali au binafsi wanawakilisha clients to the court of law.You are misconstruing his statement. Mawakili wote ni Judiciary, right? That means Kibatala na fatmakarune and Chavula are all ifficers of the court, so they are Judiciary. Yet Chavula is not paid by the hour, he is a civil servant. To that end he is part of the executive. The good thing about Tanzanua is that our Lawyers are quite aware of their circumstances and they adhere tovtgeir ethics. Libganisha na watu kama James Orengo.
Sawa wote ni maofisa wa mahakama lakini siyo MAWAKILI WA MAHAKAMA!Wakili yoyote hawe wa serikali au binafsi ni Afisa Mahakama.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ana kiburi huyo jamaa! Halafu inasemekana ni TISS aliyewekwa huko kipindi cha JPM!Kauli hiyo aliitoa wakili mwandamizi wa serikali Bw. Chavula jana tarehe 26 Novemba 2021 katika kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe ndani ya Mahakama Kuu ya uhujumu uchumi jijini Dar es Salaam. Nini maana ya kauli hii?
Je, ni kwamba hakuna tena muhimili wa mahakama? Na kwamba mahakama na serikali ni kitu kimoja kwa mujibu wa katiba?
Je, uhuru wa mahakama tayari umepokwa na serikali?
Je, wananchi tutegemee nini tunapokuwa mbele ya Mahakama?
Je, mahakama ina uwezo wa kutoa haki bila kuingiliwa na serikali?
Ni maswali mengi ambayo yamo vichwani mwetu yanayotakiwa kupatiwa majibu vinginevyo mahakama inaelekea kupoteza hadhi yake kama muhimili inayojitegemea.
Nami niliwaza jambo kama hili japo sijui kama inawesekana.Hivi hamna namna kwa hii kesi washitakiwa kuomba isikilizwe na majaji/jaji kutoka nchi zingine wanachama wa jumuia ya madola?