Wakili Albert Msando: Issue ya Lema inahitaji Busara zaidi ya Ubishi na Ujuaji

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,367
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
 
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Wakili ebu tufafanulie dhamana huwa inatolewa VP na ni makosa gani ambayo yanamnyima mshtakiwa dhamana pia kuhusu kesi ya Lema je dhamana si haki yake ebu tueleweshe bila kutafuna maneno ili tuelewe
 
Hakuna busara kwenye kudai haki ambazo zipo kisheria....Msando ampe ushauri wa kuwa objective na kutumia busara Mtukufu Rais, ambaye hana busara na siyo objective (he is tooo emotional)...
Wanasaikolojia pia wampe ushauri 'mtakatifu'.
 
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.

CCM wanaumia mnooo kuona wanakosa jimbo la Arusha, huu ni ukweli unaochoma, kisha mbunge Lema sio wa kumwondoa kiurahisi, lazima wamchukie sana sana sana, upo hapo?
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom