Wakili Albert Msando amepotosha umma kwa kudai CAG hana kinga ya kutohojiwa na Kamati ya Bunge

Kwenda huko hujui lolote wewe..wee na Msando ni sawa tu wachumia tumbo wa Lumumba.
Kusema Bunge ni DHAIFU amevunja sheria gani?
Watanzania wote wanajua Bunge ni DHAIFU..hilo haliwezi kubadilika kwa kumuita CAG


Majukumu ya CAG yanapatikana katika Ibara ya 143 (2) (3) , (4) ya katiba, pia kifungu cha 11 na 12 cha Public Audit Act, 2008 ;

Kutoa maoni ya Taasisi anazofanya nazo kazi sio sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake kwani majukumu yake ya msingi yamekwisha ainishwa hapo juu ambapo kitendo hicho hakifanyi sehemu ya majukumu hayo.

Kwa ujumla wake tungependa kuiona comment yake wazi wazi katika ripoti zake na sio katika vyombo vya habari vya nje.
 
Kinga alizo nazo CAG ni katika kutimiza majukum yake ya uCAG tu,Hakuna sehem speaker atamwita CAG kuhusiana na mambo ya Auditing kuwa yamekosewa, amechelewa kutoa au kashindwa kutimiza jambo lolote katika kazi yake. Hapa speaker hana Nguvu yyt ya kumhoji CAG. Mfano hata kwa Makonda speaker asingekuwa na mamlaka yyt ya kumwita makonda kwa makosa ya utekelezaji wa majukum yake ya uRC. Makonda hata awe anachelewa kuingia ofisini, anatukana watu au anafanya mambo yyt kinyume na maadili bado bunge halina haki ya kumhoji. Makonda na CAG waliitwa na Bunge kwa kosa moja tu,KUDHARAU BUNGE. Hapa huna cha nilikua kwenye majukum yangu au nilikua wapi,Swala ni umedharau Mhimili wa Bunge na Bunge haliwez kukupa adhabu yyt nje ya onyo na kama ni kutaka ufukuzwe kazi ni wao kuwasiliana na Mhimili uliokupa ajira ambao ni Serikali. Bunge likiona makosa yako ni makubwa na hayabebeki wao ni kutoa maazimio kwenda kwa serikali na Mwisho serikali itatakiwa kutoa uamuzi juu ya jambo hilo.CAG na ofisi yake sio muhimil unaojitegemea,Huu uko chini ya serikali na kinga alizo nazo ni ktk kutimiza majukum yake ya uCAG na sio nje ya Hapo.Kama kulidharrsha bunge ni sehemu ya kazi za CAG basi hakuna shida.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Mfano CAG asipoenda?
-Atakamatwa kwa pingu!

Mfano CAG akienda na akagoma kuongea chochote mbele ya kamati?
-................????????

Nisaidie hapo!
 
Mkuu hapa unatuingiza Chaka Rudi tena kwenye reference zako. CAG hawajibishwi na mahakama, CAG anawajibishwa na Rais hii ni baada ya tume maalum aliyoiteua yeye Rais kumpelekea mapendekezo yake.

Ila kwa tafsiri ya Ibara ya 143 ni mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kuingilia utendaji kazi wake.
Sijui kama umemkokosoa mleta mada au umemuunga mkono!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani iwe kwenu Wadau.

Kwanza napenda kuwasalimu na kuwaomba radhi kwa kipindi chote ambacho sijaonekana katika jukwaa hili.

Nimekuwa kimya kwa kipindi nikifutilia mijadala mbalimbali kwenye jukwaa hili huku nikitafakari kwa kina ni kwa jinsi gani jukwaa hili linatoa mchango chanya katika ukuaji wa nchi yetu kwenye Nyanja zote.

Niliamua kuwa msomaji tu na sio mchangiaji ila hili alilolipost Wakili Msando leo limenifanya nirudi haraka na mie nitumie mchango wangu katika kuuelewesha umma wa watanzania katika mambo ya msingi ya kisheria kwa sababu nikikaa kimya umma wa watanzania utalishwa matango pori na watu wanajiita kuwa wanasheria ila wanapotosha kwa makusudi kwa sababu zao binafsi.

Albert Msando amepotosha umma kwa kiwango kikubwa sana kwa kusema kuwa CAG HANA kinga ya kutohojiwa na kamati ya Bunge kwa kauli inayosemekana ya kulidhalilisha Bunge. Napenda kusema kuwa Msando amekosea sana na anastahili kuiomba radhi tasnia ya sheria kwa upotoshaji huu uliotukuka.

Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 kati ya nafasi ambazo zimelindwa na zimewekwa kuwa nyeti mojawapo ni nafasi za Jaji( Mahakama kuu na Mahakama ya rufaa) pamoja na CAG. Watu hawa wamewekewa utaratibu maalumu wa kuwawajibisha endapo watafanya makosa yeyote yale iwe wao kama wao au wao kama taasisi na Katiba ya Tanzania haikuacha mwanya wowote katika hayo.

CAG wa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 ibara za 143 na 144 ana njia mbili tu za kumuwajibisha nazo ni
  • MAHAKAMA
  • KAMATI/TUME MAALUM YA MAJAJI AMBAYO LAZIMA IJUMUISHE MAJAJI KUTOKA JUMUIYA YA MADOLA
Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania haijasema popote pale kuwa kamati ya Bunge inaweza kumuhoji CAG kwa iyo jibu kama kamati ya Bunge ina mamlaka ni HAPANA HAINA MAMLAKA HAYO.

Mussa Assad alikuwa nchini Marekani kama CAG akiwakilisha Tanzania kama CAG ana hata pale alikuwa akihojiwa kama CAG wa Tanzania kuhusu utengaji wake wa kazi za U CAG wa Tanzania. Kama kuna kosa limefanywa pale taratibu za kumshughulikia ni za njia mbili tu yaaani ni kwa Mahakama au Tume maalumu ya Majaji ambayo lazima ijumuishe majaji/ jaji kutoka nchi za jumuiya ya Madola.

Naomba Msando usitumike katika kupotosha juu ya hili na napenda sote tukumbuke jambo hili linahusu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ndo inayotuongoza sote.

Ingawa Katiba ya Jamhuri ya muungazo ya 1977 ina mapungufu mengi na wengine kudai imepitwa na wakati lakini pia ina mambo mazuri mengi sana yakiwemo haya ya kulinda taasisi ya Mahakama/Majaji na taasisi/nafasi ya CAG.

Asanteni.
Nasikia na Ndugai nae kwa taaluma ni mwanasheria, ni kweli? Kama ndiyo inakuwaje hawasemi lugha moja? Au ni njaa?
 
Amani iwe kwenu Wadau.

Kwanza napenda kuwasalimu na kuwaomba radhi kwa kipindi chote ambacho sijaonekana katika jukwaa hili.

Nimekuwa kimya kwa kipindi nikifutilia mijadala mbalimbali kwenye jukwaa hili huku nikitafakari kwa kina ni kwa jinsi gani jukwaa hili linatoa mchango chanya katika ukuaji wa nchi yetu kwenye Nyanja zote.

Niliamua kuwa msomaji tu na sio mchangiaji ila hili alilolipost Wakili Msando leo limenifanya nirudi haraka na mie nitumie mchango wangu katika kuuelewesha umma wa watanzania katika mambo ya msingi ya kisheria kwa sababu nikikaa kimya umma wa watanzania utalishwa matango pori na watu wanajiita kuwa wanasheria ila wanapotosha kwa makusudi kwa sababu zao binafsi.

Albert Msando amepotosha umma kwa kiwango kikubwa sana kwa kusema kuwa CAG HANA kinga ya kutohojiwa na kamati ya Bunge kwa kauli inayosemekana ya kulidhalilisha Bunge. Napenda kusema kuwa Msando amekosea sana na anastahili kuiomba radhi tasnia ya sheria kwa upotoshaji huu uliotukuka.

Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 kati ya nafasi ambazo zimelindwa na zimewekwa kuwa nyeti mojawapo ni nafasi za Jaji( Mahakama kuu na Mahakama ya rufaa) pamoja na CAG. Watu hawa wamewekewa utaratibu maalumu wa kuwawajibisha endapo watafanya makosa yeyote yale iwe wao kama wao au wao kama taasisi na Katiba ya Tanzania haikuacha mwanya wowote katika hayo.

CAG wa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 ibara za 143 na 144 ana njia mbili tu za kumuwajibisha nazo ni
  • MAHAKAMA
  • KAMATI/TUME MAALUM YA MAJAJI AMBAYO LAZIMA IJUMUISHE MAJAJI KUTOKA JUMUIYA YA MADOLA
Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania haijasema popote pale kuwa kamati ya Bunge inaweza kumuhoji CAG kwa iyo jibu kama kamati ya Bunge ina mamlaka ni HAPANA HAINA MAMLAKA HAYO.

Mussa Assad alikuwa nchini Marekani kama CAG akiwakilisha Tanzania kama CAG ana hata pale alikuwa akihojiwa kama CAG wa Tanzania kuhusu utengaji wake wa kazi za U CAG wa Tanzania. Kama kuna kosa limefanywa pale taratibu za kumshughulikia ni za njia mbili tu yaaani ni kwa Mahakama au Tume maalumu ya Majaji ambayo lazima ijumuishe majaji/ jaji kutoka nchi za jumuiya ya Madola.

Naomba Msando usitumike katika kupotosha juu ya hili na napenda sote tukumbuke jambo hili linahusu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ndo inayotuongoza sote.

Ingawa Katiba ya Jamhuri ya muungazo ya 1977 ina mapungufu mengi na wengine kudai imepitwa na wakati lakini pia ina mambo mazuri mengi sana yakiwemo haya ya kulinda taasisi ya Mahakama/Majaji na taasisi/nafasi ya CAG.

Asanteni.
Hakika alhaj Assad ni Mungu pekee anayempigamia!
 
Amani iwe kwenu Wadau.

Kwanza napenda kuwasalimu na kuwaomba radhi kwa kipindi chote ambacho sijaonekana katika jukwaa hili.

Nimekuwa kimya kwa kipindi nikifutilia mijadala mbalimbali kwenye jukwaa hili huku nikitafakari kwa kina ni kwa jinsi gani jukwaa hili linatoa mchango chanya katika ukuaji wa nchi yetu kwenye Nyanja zote.

Niliamua kuwa msomaji tu na sio mchangiaji ila hili alilolipost Wakili Msando leo limenifanya nirudi haraka na mie nitumie mchango wangu katika kuuelewesha umma wa watanzania katika mambo ya msingi ya kisheria kwa sababu nikikaa kimya umma wa watanzania utalishwa matango pori na watu wanajiita kuwa wanasheria ila wanapotosha kwa makusudi kwa sababu zao binafsi.

Albert Msando amepotosha umma kwa kiwango kikubwa sana kwa kusema kuwa CAG HANA kinga ya kutohojiwa na kamati ya Bunge kwa kauli inayosemekana ya kulidhalilisha Bunge. Napenda kusema kuwa Msando amekosea sana na anastahili kuiomba radhi tasnia ya sheria kwa upotoshaji huu uliotukuka.

Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 kati ya nafasi ambazo zimelindwa na zimewekwa kuwa nyeti mojawapo ni nafasi za Jaji( Mahakama kuu na Mahakama ya rufaa) pamoja na CAG. Watu hawa wamewekewa utaratibu maalumu wa kuwawajibisha endapo watafanya makosa yeyote yale iwe wao kama wao au wao kama taasisi na Katiba ya Tanzania haikuacha mwanya wowote katika hayo.

CAG wa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 ibara za 143 na 144 ana njia mbili tu za kumuwajibisha nazo ni
  • MAHAKAMA
  • KAMATI/TUME MAALUM YA MAJAJI AMBAYO LAZIMA IJUMUISHE MAJAJI KUTOKA JUMUIYA YA MADOLA
Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania haijasema popote pale kuwa kamati ya Bunge inaweza kumuhoji CAG kwa iyo jibu kama kamati ya Bunge ina mamlaka ni HAPANA HAINA MAMLAKA HAYO.

Mussa Assad alikuwa nchini Marekani kama CAG akiwakilisha Tanzania kama CAG ana hata pale alikuwa akihojiwa kama CAG wa Tanzania kuhusu utengaji wake wa kazi za U CAG wa Tanzania. Kama kuna kosa limefanywa pale taratibu za kumshughulikia ni za njia mbili tu yaaani ni kwa Mahakama au Tume maalumu ya Majaji ambayo lazima ijumuishe majaji/ jaji kutoka nchi za jumuiya ya Madola.

Naomba Msando usitumike katika kupotosha juu ya hili na napenda sote tukumbuke jambo hili linahusu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ndo inayotuongoza sote.

Ingawa Katiba ya Jamhuri ya muungazo ya 1977 ina mapungufu mengi na wengine kudai imepitwa na wakati lakini pia ina mambo mazuri mengi sana yakiwemo haya ya kulinda taasisi ya Mahakama/Majaji na taasisi/nafasi ya CAG.

Asanteni.
Kiongozi, kama wewe ni wakili basi uwakili wako una mashaka au walakini. Hii ndo submission yako?
Nilifikiri kuwa ungekuwa umesoma vizuri kuhusu vifungu vya katiba na kutuambia kuhusu spika anatumia kifungu kipi cha sheria za bunge na ibara za katiba, then uje kwenye kinga ya CAG katika katiba hyo hyo na kuzionyesha hapa na ikiwezekn hata international laws kama zipo.
Kwa ulichokiandika hapa ni kuwa unaleta ushabiki kwa mgongo wa sheria kuliko uhalisia. Please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano CAG asipoenda?
-Atakamatwa kwa pingu!

Mfano CAG akienda na akagoma kuongea chochote mbele ya kamati?
-................????????

Nisaidie hapo!
CAG asipoenda ni Bunge kutoa maazimio kwa mwajiri wake ambaye ni Serikali. Shida yenu mnachukulia bunge kwa kuangalia akina Ndugai, kibajaji nk amuangalii bunge kwa nguvu zake kama wataamua kuzitumia. Kama Bunge lina nguvu ya kumn'goa PM na Rais huyo Asad ni nani mbele ya Bunge?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
CAG asipoenda ni Bunge kutoa maazimio kwa mwajiri wake ambaye ni Serikali. Shida yenu mnachukulia bunge kwa kuangalia akina Ndugai, kibajaji nk amuangalii bunge kwa nguvu zake kama wataamua kuzitumia. Kama Bunge lina nguvu ya kumn'goa PM na Rais huyo Asad ni nani mbele ya Bunge?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kwa hiyo bunge likiamua linamuondoa yeyote yule?Natamani CDF aseme bunge ni dhaifu!
 
CAG asipoenda ni Bunge kutoa maazimio kwa mwajiri wake ambaye ni Serikali. Shida yenu mnachukulia bunge kwa kuangalia akina Ndugai, kibajaji nk amuangalii bunge kwa nguvu zake kama wataamua kuzitumia. Kama Bunge lina nguvu ya kumn'goa PM na Rais huyo Asad ni nani mbele ya Bunge?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Bunge haliwezi kumng'oa CAG...Katiba imeeleza namna bunge linavyoweza kumng'oa Rais,katiba hiyohiyo imeeleza namna bunge linavyoweza kumng'oa PM na utaratibu upo clear..kama bunge linaweza kumng'oa CAG eleza hapa ni kifungu gani cha katiba kimetoa mamlaka na utaratibu wa bunge kumng'oa CAG kama ilivyo kwa rais na Pm
 
Maelezo meeeengi ndani ulaghai mtupu
Kinga alizo nazo CAG ni katika kutimiza majukum yake ya uCAG tu,Hakuna sehem speaker atamwita CAG kuhusiana na mambo ya Auditing kuwa yamekosewa, amechelewa kutoa au kashindwa kutimiza jambo lolote katika kazi yake. Hapa speaker hana Nguvu yyt ya kumhoji CAG. Mfano hata kwa Makonda speaker asingekuwa na mamlaka yyt ya kumwita makonda kwa makosa ya utekelezaji wa majukum yake ya uRC. Makonda hata awe anachelewa kuingia ofisini, anatukana watu au anafanya mambo yyt kinyume na maadili bado bunge halina haki ya kumhoji. Makonda na CAG waliitwa na Bunge kwa kosa moja tu,KUDHARAU BUNGE. Hapa huna cha nilikua kwenye majukum yangu au nilikua wapi,Swala ni umedharau Mhimili wa Bunge na Bunge haliwez kukupa adhabu yyt nje ya onyo na kama ni kutaka ufukuzwe kazi ni wao kuwasiliana na Mhimili uliokupa ajira ambao ni Serikali. Bunge likiona makosa yako ni makubwa na hayabebeki wao ni kutoa maazimio kwenda kwa serikali na Mwisho serikali itatakiwa kutoa uamuzi juu ya jambo hilo.CAG na ofisi yake sio muhimil unaojitegemea,Huu uko chini ya serikali na kinga alizo nazo ni ktk kutimiza majukum yake ya uCAG na sio nje ya Hapo.Kama kulidharrsha bunge ni sehemu ya kazi za CAG basi hakuna shida.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tafsiri kwamba kinga aliyonayo CAG ni kwenye kutekeleza majukumu yake tu umelitoa wapi? Je, hii tafsiri yako inatumika kwa CAG peke yake au hata kwa majaji, rais na wabunge ambao wote wana kinga ya kikatiba? Unamaanisha kwamba hata rais anaweza kushitakiwa kwa kuwatukana wale wanafunzi wa UDOM kwamba ni "vilaza" kwa kuwa kutukana siyo sehemu ya majukumu yake kama rais?

Hili kosa la kudhalilisha bunge lipo kwenye kifungu gani? Ingredients zake ni zipi na adhabu yake ni ipi? Mbona mnatengeneza makosa ya hisia au kauli inayomkera Ndugai ndo kudhalilisha Binge?
Huyo -Right guy alichokisimulia anakijua mwenyewe ! Tuna tatizo kubwa sana la kiuweledi katika uchambuzi wa mambo usioacha maswali ! Mimi ningeona hiyo clip ya video ikimwonesha CAG yupo anakula good time huko ufukweni cocobeach na marafiki zake huku akitumia cheo chake kuudhalilisha mhimili wa Bunge kwa nia ovu then ningekuwa sehemu ya kumlaani kwa kitendo hicho kisicho cha kizalendo !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusems tu.binge ni dhaifu katika professionalism haina maana ya.kulidharau bunge. Ni tafsiri ya jinsi linavyotekeleza wajibu wake katika kuisimamia serikali na matumizi ya umma
 
Amani iwe kwenu Wadau.

Kwanza napenda kuwasalimu na kuwaomba radhi kwa kipindi chote ambacho sijaonekana katika jukwaa hili.

Nimekuwa kimya kwa kipindi nikifutilia mijadala mbalimbali kwenye jukwaa hili huku nikitafakari kwa kina ni kwa jinsi gani jukwaa hili linatoa mchango chanya katika ukuaji wa nchi yetu kwenye Nyanja zote.

Niliamua kuwa msomaji tu na sio mchangiaji ila hili alilolipost Wakili Msando leo limenifanya nirudi haraka na mie nitumie mchango wangu katika kuuelewesha umma wa watanzania katika mambo ya msingi ya kisheria kwa sababu nikikaa kimya umma wa watanzania utalishwa matango pori na watu wanajiita kuwa wanasheria ila wanapotosha kwa makusudi kwa sababu zao binafsi.

Albert Msando amepotosha umma kwa kiwango kikubwa sana kwa kusema kuwa CAG HANA kinga ya kutohojiwa na kamati ya Bunge kwa kauli inayosemekana ya kulidhalilisha Bunge. Napenda kusema kuwa Msando amekosea sana na anastahili kuiomba radhi tasnia ya sheria kwa upotoshaji huu uliotukuka.

Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 kati ya nafasi ambazo zimelindwa na zimewekwa kuwa nyeti mojawapo ni nafasi za Jaji( Mahakama kuu na Mahakama ya rufaa) pamoja na CAG. Watu hawa wamewekewa utaratibu maalumu wa kuwawajibisha endapo watafanya makosa yeyote yale iwe wao kama wao au wao kama taasisi na Katiba ya Tanzania haikuacha mwanya wowote katika hayo.

CAG wa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya mwaka 1977 ibara za 143 na 144 ana njia mbili tu za kumuwajibisha nazo ni
  • MAHAKAMA
  • KAMATI/TUME MAALUM YA MAJAJI AMBAYO LAZIMA IJUMUISHE MAJAJI KUTOKA JUMUIYA YA MADOLA
Katika katiba ya Jamhuri ya Tanzania haijasema popote pale kuwa kamati ya Bunge inaweza kumuhoji CAG kwa iyo jibu kama kamati ya Bunge ina mamlaka ni HAPANA HAINA MAMLAKA HAYO.

Mussa Assad alikuwa nchini Marekani kama CAG akiwakilisha Tanzania kama CAG ana hata pale alikuwa akihojiwa kama CAG wa Tanzania kuhusu utengaji wake wa kazi za U CAG wa Tanzania. Kama kuna kosa limefanywa pale taratibu za kumshughulikia ni za njia mbili tu yaaani ni kwa Mahakama au Tume maalumu ya Majaji ambayo lazima ijumuishe majaji/ jaji kutoka nchi za jumuiya ya Madola.

Naomba Msando usitumike katika kupotosha juu ya hili na napenda sote tukumbuke jambo hili linahusu katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo ndo inayotuongoza sote.

Ingawa Katiba ya Jamhuri ya muungazo ya 1977 ina mapungufu mengi na wengine kudai imepitwa na wakati lakini pia ina mambo mazuri mengi sana yakiwemo haya ya kulinda taasisi ya Mahakama/Majaji na taasisi/nafasi ya CAG.

Asanteni.
CAG hajaitwa kuhojiwa kwa sababu ya ukaguzi alioufanya, bali ni kutokana na maoni yake binafsi kama mtu mwingine yeyote yule, aliyoyatoa, tena kiwa akiwa nje ya Nchi. Yaani ni sawa tu na mimi niseme kuwa Bunge ni dhaifu halafu niitwe kuhojiwa. Aliyeitwa kuhojiwa actually siyo CAG ila ni raia wa Tanzania ambaye kwa coincidence imetokea kuwa ana cheo hicho, ila angeweza hata akawa Mkuu wa Mkoa Aggrey Mwanri, au mtu mwingine yeyote yule, provided ametamka matamshi hayo, au hata babu yangu aliyeko kijijini Sangang'walugesha huko Shinyanga!
 
Msando yuko smart sana jamaa ameama ajafata shida ya tumbo lake ila ni ulinz wa mali na familia yake kitu ambacho atakua amepima kutoka mbali kwa uwekezaji wake alivuounga hela ameanza kutafuta yeye kwa jasho so ameona apoteze kila kitu nimemsamehe kwa ilo hata haya anajua nn anafanya ila ndo kaz aliyooangiwa na chama la sivyo atapata tabu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
CAG hajaitwa kuhojiwa kwa sababu ya ukaguzi alioufanya, bali ni kutokana na maoni yake binafsi kama mtu mwingine yeyote yule, aliyoyatoa, tena kiwa akiwa nje ya Nchi. Yaani ni sawa tu na mimi niseme kuwa Bunge ni dhaifu halafu niitwe kuhojiwa. Aliyeitwa kuhojiwa actually siyo CAG ila ni raia wa Tanzania ambaye kwa coincidence imetokea kuwa ana cheo hicho, ila angeweza hata akawa Mkuu wa Mkoa Aggrey Mwanri, au mtu mwingine yeyote yule, provided ametamka matamshi hayo, au hata babu yangu aliyeko kijijini Sangang'walugesha huko Shinyanga!
Umeeleza vyema


Hata mimi najua spika ndugai hakumwita CAG, ila amemwita mtu anayeitwa Assad kwa kulidhalilisha bunge

Huyu Assad ameitwa kama alivyoitwa ndugu yetu Pascal Mayalla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenda huko hujui lolote wewe..wee na Msando ni sawa tu wachumia tumbo wa Lumumba.
Kusema Bunge ni DHAIFU amevunja sheria gani?
Watanzania wote wanajua Bunge ni DHAIFU..hilo haliwezi kubadilika kwa kumuita CAG
Kanuni za Bunge; nyongeza ya nane kanuni ya 4(1) itokanayo na kanuni ya 118 ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2016; inampa uwezo Spika kupeleka jambo lolote katika hiyo kamati ambapo jambo Hilo litafanyiwa uchunguzi na kamati na mapendekezo yake kupelekwa kwa Spika kwa hatua zaidi.

Mhusika akienda katika kamati itakuwa ni vyema zaidi kwani matokeo ya kamati yatakuwa yamekamilika kwa kumpa CAG haki ya kusikilizwa kabla ya findings za kamati kumfikia Spika.
 
Kanuni za Bunge; nyongeza ya nane kanuni ya 4(1) itokanayo na kanuni ya 118 ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2016; inampa uwezo Spika kupeleka jambo lolote katika hiyo kamati ambapo jambo Hilo litafanyiwa uchunguzi na kamati na mapendekezo yake kupelekwa kwa Spika kwa hatua zaidi.

Mhusika akienda katika kamati itakuwa ni vyema zaidi kwani matokeo ya kamati yatakuwa yamekamilika kwa kumpa CAG haki ya kusikilizwa kabla ya findings za kamati kumfikia Spika.
Kanuni za Bunge na Katiba..which one is Supremacy??
Obvious ni Katiba..
CAG ana kinga Kikatiba..msikilize Wakili Jebra.
 
Back
Top Bottom