mhhmmm! qudadeki.... hapo kwenye usagaji..! kazi ipo!
transforming a flirt into a good girl, is not a simple task... we need experienced advisers here..
mkuu, hii ni kazi ya ziada..Kweli Mkuu. Asaidiwe. Alafu binti mwenyewe decent kweli. Yeye hajitambui kama ana tatizo hilo. Utakuta anamwambia jamaa eti "Mimi nafurahia kunyonywa zaidi kuliko hata sex yenyewe". Anaitaji msaada. Afanyeje ili apone?
mhhmmm! qudadeki.... hapo kwenye usagaji..! kazi ipo!
transforming a flirt into a good girl, is not a simple task... we need experienced advisers here..
Mmmh..!!
Ngoja nikuambie kitu ndugu, mwambie atafute binti mwengine tu kuepesha mattizo yasio ya lazima, ila jina lako nalo liana utata kutamuka
mkuu, hii ni kazi ya ziada..
nadhani kuna haja ya kumpa ushauri nasaha.. jaribu kutafuta madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, ama madaktari wa wanawake in general.. watakuwa msaada mkubwa sana kwake!
pili, inabidi apatiwe mtu ambae ni wa msaada kwake, mwanaume ambae saikolojikale anajua madhara ya haya mambo.. awe bega kwa bega katika kumbadilisha binti huyo...
naamini hakuna kinachoshindikana chini ya jua... MSHIRIKISHE NA MUNGU PIA.. MPELEKENI MAOMBEZINI!!!!
Mmmh..!!
Ngoja nikuambie kitu ndugu, mwambie atafute binti mwengine tu kuepesha mattizo yasio ya lazima, ila jina lako nalo liana utata kutamuka
Aisee ! Ngoja wachungaji waamke tufanye ibada!!