Nafasi ya Bwalya acheze Mzamiru, kusaidia kukaba juuPeter Muduwa hawezi anza 1st eleven mechi yake ya kwanza na Simba na mechi kubwa atakaa Wawa hapo pia hawezi kuweka viungo wakabaji watatu, mmoja kati ya Mzamiru na Nyoni ataanzia benchi halafu Bwalya ataanza
Na msemaji wao alivyomrembo ndo wataanza nae.HahahaHuko si ndo linakotokea lile vumbi?! Mbona hatari hii.
😂😂😂😂kuna ukweliHich kikos kma chama na konde boy wakikabwa vzur kinafungwa hta na namungo
Bwalya atasogea mbele halafu Morisson ataanza benchi sababu ni mvivu kukaba.Nafasi ya Bwalya acheze Mzamiru, kusaidia kukaba juu