Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Wakati Wakenya wakizidi kuihujumu kiuchumi Tanzania huku wakiwa wamelewa chan'gaa na mirungi hawajui Tanzania imejikita wapi kiuchumi.
Eti wakaibagua Tanzania kwenye usafiri wa ndege kijanjajanja wakatoa orodha ya mataifa 11 kesho yake wakaongeza 8 huku wakijua wazi Tanzania wataiumiza.
Kwa utawala wa Rais Magufuli ni hakika Kenya wataisoma namba hadi za Kirumi kabisa ifikapo 2023 tu, waone mashirika ya ndege makubwa kama KLM kuanza kutua Dar na Kilimanjaro ni ishara bora kama hatuihitaji tena Kenya kupeleka nyanya zetu Ulaya. Kabla ya ndege zetu 2 za mizigo zitakazo kuja miezi ya hivi karibuni mwakani.
Kama kuna taifa linawachomekea maneno ya uovu Wakenya dhidi ya Tanzania, nawasihi wajitafakari upya na wavunje urafiki na hilo taifa, linawapotosha.
Eti wakaibagua Tanzania kwenye usafiri wa ndege kijanjajanja wakatoa orodha ya mataifa 11 kesho yake wakaongeza 8 huku wakijua wazi Tanzania wataiumiza.
Kwa utawala wa Rais Magufuli ni hakika Kenya wataisoma namba hadi za Kirumi kabisa ifikapo 2023 tu, waone mashirika ya ndege makubwa kama KLM kuanza kutua Dar na Kilimanjaro ni ishara bora kama hatuihitaji tena Kenya kupeleka nyanya zetu Ulaya. Kabla ya ndege zetu 2 za mizigo zitakazo kuja miezi ya hivi karibuni mwakani.
Kama kuna taifa linawachomekea maneno ya uovu Wakenya dhidi ya Tanzania, nawasihi wajitafakari upya na wavunje urafiki na hilo taifa, linawapotosha.