Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Na kama waliopiga kura wengi ni wa Uhuru, kwa sababu wa Odinga wamemsikilizakiongozi wao aliyewambia wasusie kupiga kura, Uhuru kupata 50% sasa itakuwa rahisi kuliko uchaguzi wa awali.Ili Uhuru ashinde, anahitaji atleast 50% ya watu wote waliojiandikisha....akipata chini ya hapo uchaguzi unarudiwa