mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Ni mtazamo wangu ndio, ila kwa taarifa yako waCongo na waTanzania ndio wanaoongoza kwa kujichubua, kama umeshawahi kwenda kenya na uganda ni nadra sana kuona wasichana wenye rangi ya papai, na wanajichubua kuridhisha wanaume. Ni mtazamo wangu kama ulivyosema, ila ndio ukweli wenyewe.Huo ni mtazamo wako, mbona Flavian Matata anakubalika, ila rangi ya kati na kati inapendeza zaidi, not too black, not too much brown.