mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 169
Kweli kabisaLazima waone ni Moto maana hata sisi Rais wao kila siku tunamsifu kuwa ana demokrasia kuliko wenzake wa EA.
Sema hata sisi makarai, itapendeza. Usitake kuwa msemaji wa watanzania wote.Lazima waone ni Moto maana hata sisi Rais wao kila siku tunamsifu kuwa ana demokrasia kuliko wenzake wa EA.
Kwani wewe na Makarai wenzako mnasemaje kuhusu hili?Sema hata sisi makarai, itapendeza. Usitake kuwa msemaji wa watanzania wote.
Makarai tupo hapa ufipa tunasuburi kususa. Mbona umechelewa kutokea? Tunakungoja tuungane tuanze kuzungusha mikono.Kwani wewe na Makarai wenzako mnasemaje kuhusu hili?
Ali Kiba njoo tuanze kutukana
Sawa subiri hapo hapo kuna makarai menzako kutoka huku Dodoma nayaleta na Fuso tutaingia usiku hapo Dar hivyo maandamano ni kesho.Makarai tupo hapa ufipa tunasuburi kususa. Mbona umechelewa kutokea? Tunakungoja tuungane tuanze kuzungusha mikono.
Kamanda mbona unaweweseka?Sawa subiri hapo hapo kuna makarai menzako kutoka huku Dodoma nayaleta na Fuso tutaingia usiku hapo Dar hivyo maandamano ni kesho.
Muogope Mungu we kaka... Utapigwa na radi halafu.King Kiba ni mkubwa kuliko huyo Rickross wenu!
HahaaaaaKing Kiba ni mkubwa kuliko huyo Rickross wenu!
Hahaaaaa na mvua za huko pwani ambazo wamesema nyingiMuogope Mungu we kaka... Utapigwa na radi halafu.
radi inakuhusu wewe.....Hahaaaaa na mvua za huko pwani ambazo wamesema nyingi
Hahaaa ngoja nikimbilie nyanda za juu huku ni mbali na pwaniradi inakuhusu wewe.....