Mimi hao watu huwa najiuliza kama hizo akili wanazo kwanza. Wamekubali mfumo wa ubepari ulioletwa na wakoloni wakati jamii nyingi zina watu masikini zaidi, wasio na ardhi. Ardhi yao inamilikiwa na mtu mmoja na familia yake. Nchi nzima imejaa vibaraka wa wakoloni ambao kazi yao ni kulamba viatu vya wazungu. Pathetic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.