Wakenya walalamikia udhahifu wa nchi yao kufuatia majeshi ya Somalia kuvuka na kushambulia ndani ya Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Waswahili husema kwamba usijisifu kwamba unakimbia sana kabla hujakimizwa, Kenya miaka yote walikua wakijipa matumaini ya kijinga kwamba wanauwezo mkubwa katika midani za kivita na kuhisi kwamba mataifa mengi yanawahofia.

Ugomvi wa Uganda na Kenya wa kugombea Migingo, na kitendo cha majeshi ya Somalia kuingia na kushambulia Mandera, kunathibitisha kwamba, huwezi kujua kama una kasi kubwa ya kukimbia kabla hujakimbizwa.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Somalia amepigia rais wa Kenya kuomba msamaha
Hahahaha, kitendo cha majeshi ya nchi jirani kuvuka mpaka wenu bila hofu na wanarudi kwao bila wasiwasi wowote ni ishara tosa kwamba hakuna nchi jirani inayotishika na kuogopa KDF.

Kama huyo mtangazaji anavyosema, Uganda, South Sudan na Ethiopia walishafanya hivyo mara kadhaa lakini hakuna lolote liliowapata.

Jambo la kusikisha ni kwamba, baadhi ya wakuu wenu wa polisi walianza kupinga kwamba sio kweli ili kuficha hiyo aibu. Unakumbuka hata baadhi yenu mlianza kwa kupinga hapa jamii forum kwamba hawakuvuka mpaka, kama kawaida yenu mkasema hatujaelewa kiingereza, ninyi ni watu wa hovyo sana kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, kitendo cha majeshi ya nchi jirani kuvuka mpaka wenu bila hofu na wanarudi kwao bila wasiwasi wowote ni ishara tosa kwamba hakuna nchi jirani inayotishika na kuogopa KDF.

Kama huyo mtangazaji anavyosema, Uganda, South Sudan na Ethiopia walishafanya hivyo mara kadhaa lakini hakuna lolote liliowapata.

Jambo la kusikisha ni kwamba, baadhi ya wakuu wenu wa polisi walianza kupinga kwamba sio kweli ili kuficha hiyo aibu. Unakumbuka hata baadhi yenu mlianza kwa kupinga hapa jamii forum kwamba hawakuvuka mpaka, kama kawaida yenu mkasema hatujaelewa kiingereza, ninyi ni watu wa hovyo sana kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu KDF ijaribu kuingilia Tanzania tuone!
 
Hahahaha, kitendo cha majeshi ya nchi jirani kuvuka mpaka wenu bila hofu na wanarudi kwao bila wasiwasi wowote ni ishara tosa kwamba hakuna nchi jirani inayotishika na kuogopa KDF.

Kama huyo mtangazaji anavyosema, Uganda, South Sudan na Ethiopia walishafanya hivyo mara kadhaa lakini hakuna lolote liliowapata.

Jambo la kusikisha ni kwamba, baadhi ya wakuu wenu wa polisi walianza kupinga kwamba sio kweli ili kuficha hiyo aibu. Unakumbuka hata baadhi yenu mlianza kwa kupinga hapa jamii forum kwamba hawakuvuka mpaka, kama kawaida yenu mkasema hatujaelewa kiingereza, ninyi ni watu wa hovyo sana kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nionyeshe wapi walivuka mpaka???
 
Hebu nionyeshe wapi walivuka mpaka???
Msikilize huyo mtangazaji anataja matukio yote ya nchi jirani zilizovuka mpaka wenu. Kama alivyopinga huyo mkuu wenu wa polisi kwamba majeshi ya Somalia hayakuvuka, na wewe unapinga analosema huyo mtangazaji?. Ninyi ni kawaida yenu kutokubali udhahifu wenu. Kitu kimoja lazima mkubali ni kwamba, "There is no a single country which respects Kenya nowdays".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu KDF ijaribu kuingilia Tanzania tuone!
KDF inaingia Hadi Ikulu ya Magu bill wasiwasi.

Kama Hawa vijana was mtaa wanaivamia Police station in Dar es salaam, kill police officers and steal guns na hawapatikani je KDF?

Police in Tanzania have launched a hunt after seven people were killed and an unspecified number of firearms stolen when armed gangsters attacked a major police station in Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom