Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu magari siyo ishu kujua ni wakenya...wachagga wengi sana wana biashara zao nairobi so kipindi cha sikukuu ni kawaida sana kuona magari yenye namba za kenya moshi na arusha..All most kwa siku tatu sasa naona Wakenya wakiingia Arusha kwa magari yao binafsi kusherehekea krismas, nafikiri wengi wao hawana imani na usalama wa nairobi. Karibuni sana majirani zetu, mjisikie home!!
Ndugu yangu magari siyo ishu kujua ni wakenya...wachagga wengi sana wana biashara zao nairobi so kipindi cha sikukuu ni kawaida sana kuona magari yenye namba za kenya moshi na arusha..
Ukiwa pale Mtukura haukawii kuona ngoma zinatokea kwa basaija ba Kampara kuingia town,hakika maeneo ya mipaka kunachangamka sana mida hii
Ndugu yangu magari siyo ishu kujua ni wakenya...wachagga wengi sana wana biashara zao nairobi so kipindi cha sikukuu ni kawaida sana kuona magari yenye namba za kenya moshi na arusha..
All most kwa siku tatu sasa naona Wakenya wakiingia Arusha kwa magari yao binafsi kusherehekea krismas, nafikiri wengi wao hawana imani na usalama wa nairobi. Karibuni sana majirani zetu, mjisikie home!!
Mwambie huyo hata huku Nairobi sasa hivi gari zenye no za TZ zimejaa kibao lakini sidhani kama ni Wa TZ wamekuja kula sikukuu nadhani ni Wakenya wafanyao kazi Bongo wamerudi kwao
siyo kampara ni Kampala
Ila kipindi hii sasa ukitaka kufarhisha macho mpaka moyo usuuzike fika arusha moshi ndio utatambua uzuri wa watoto wakitanzania! Hehehe! Yani huwa napenda kukaa tu mitaa flani flani huku nikifurahia uumbaji wa Muumba na jinsi mabinti wanavyokatiza.
Ukiwa pale Mtukura haukawii
kuona ngoma zinatokea kwa basaija ba Kampara kuingia town,hakika maeneo
ya mipaka kunachangamka sana mida hii