smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,535
- 11,860
Wakati watanzania wengi tukiwa katika furaha ya timu yetu ya taifa ya mpira kufungwa goli tatu na timu ya taifa ya kenya(harambee stars), huko kwenye mitandao ya kijamii wakenya wameanzisha movement ya kutaka mkenya mwenzao raphael ogangi apatikane.
Taarifa zilizopo zanadai raphael ogangi ambaye ni rafiki wa karibu wa mwanasiasa mmoja maarufu wa upinzani wa tanzania, alitekwa siku chache zilizopita na watu wasiojulikana ndani ya jiji la dar es salaam.
Mpaka sasa kule instagram, vuguvugu hilo limeshafikisha post mia moja plus. bila shaka twitter na facebook kutakuwa na post nyingi zaidi za aina hiyo. MK254
Taarifa zilizopo zanadai raphael ogangi ambaye ni rafiki wa karibu wa mwanasiasa mmoja maarufu wa upinzani wa tanzania, alitekwa siku chache zilizopita na watu wasiojulikana ndani ya jiji la dar es salaam.
Mpaka sasa kule instagram, vuguvugu hilo limeshafikisha post mia moja plus. bila shaka twitter na facebook kutakuwa na post nyingi zaidi za aina hiyo. MK254