Wakenya waandamana Nairobi kumpinga Trump, washambuliwa mitandaoni kwa kuingilia yasiyowahusu

REDEEMER.

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
8,925
14,880
Screenshot_2017-01-22-06-46-02.jpg
Screenshot_2017-01-22-06-47-33.jpg
Screenshot_2017-01-22-06-48-30.jpg
 
Unajua kuna kipindi mtu husaka ile popularity anapo ikosa hupitia mgongo wa mtu mwingine.

Kenya nyumba yenu ikiungua mnaenda kuzima moto kwa jilani....


Nyie mna matatizo mangapi humo nchini mwenu!?. Rushwa mnaiongelea kila siku baada ya kufanya mambo muhimu humo kwenu Mnaenda kuwaangaikia sio tu jilani bali nyumba ya mtaa wa kumi huko.

Trump is for his country, he has nothing to do with your country rather than new styles of exploration.
 
tokea obama awe rais wameshaona amerika ya mzee kenyata!yaani kenyan wamekaa kitapelitapeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom