luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Sio kweli M7 mbona alienda balozi ya TzWaganda walikua busy na mamba yao. Hata tv yao ya taifa ilikua inapiga miziki yao. M7 mwenyewe hakuonekana popote kwenye msiba. Uganda wapo mbali sana
Then tambua rais alikuwa ni wa Tz sio wa Ug so kwao lzm business iendelee as usual