Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
Ndugu majirani mnafeli wapi?? Mnaandika vitu gani hivi sasa, isitoshe mnatutaja na sisi wote tunaonekana wapumbavu, choka mbaya bin mlala hoi. Dah! kwa hiyo mumeamua kuwa omba omba tena kwa lazima.