Wakenya mmetuangusha wana Afrika Mashariki

Wanaongea kiswahili kama wanarudi rivas
Nikiwa Highschool nilifunzwa kuwa lugha moja inaweza kuwa na vilugha vidogovidogo ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia.(lahaja)

Lahaja za lugha moja hutofautiana katika matamshi,miundo ya sarufi na msamiati.

Kwa mfano Ukimskiza mkikuyu kutoka Kirinyaga akizungumza anatofauti za kimatamshi na mkikuyu kutoka Kiambu au Nyeri.
Kiswahili pia kina lahaja zake .That's why there is a difference between Kenyan and Tanzanian spoken Swahili.
 
Nikiwa Highschool nilifunzwa kuwa lugha moja inaweza kuwa na vilugha vidogovidogo ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia.(lahaja)

Lahaja za lugha moja hutofautiana katika matamshi,miundo ya sarufi na msamiati.

Kwa mfano Ukimskiza mkikuyu kutoka Kirinyaga akizungumza anatofauti za kimatamshi na mkikuyu kutoka Kiambu au Nyeri.
Kiswahili pia kina lahaja zake .That's why there is a difference between Kenyan and Tanzanian spoken Swahili.
Ongeza volume.
 
Nikiwa Highschool nilifunzwa kuwa lugha moja inaweza kuwa na vilugha vidogovidogo ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia.(lahaja)

Lahaja za lugha moja hutofautiana katika matamshi,miundo ya sarufi na msamiati.

Kwa mfano Ukimskiza mkikuyu kutoka Kirinyaga akizungumza anatofauti za kimatamshi na mkikuyu kutoka Kiambu au Nyeri.
Kiswahili pia kina lahaja zake .That's why there is a difference between Kenyan and Tanzanian spoken Swahili.
Plus majority of Tanzanians are Bantus..... Swahili is a Bantu/Arabic language ..... In Kenya Nilotes and Cushites form almost half of the country...how do you expect a kale/Maasai/Luo/Somali/samburu/Turkana to speak Kiswahili sanifu!!! The linguistic differences between Nilotic/Cushitic languages and swahili is like day and night!!!
 
Pia Tazania Kuna difference hata Kama karibu wote wana asili ya kibantu. For example people from Zanzibar speak differently from People from Tanga e.t.c
 
Hivi ninyi wakenya, wasomali, na wahindi Kiswahili chenu huwa mnajifunzia wapi? Ninyi asili yenu ni wapi? mmekaa nasi Afrika mashariki miaka kibao lakini kiswahili hambadiliki kabisa

1. Eti .....nmasema Ati

2. Kumpa mtu kitu.....mnasema amepeana yeye

3.?

4.?
Usisahau kunywa wanasema kunya utasikia sogea tukunye chai
 
Heheeee!!we kumbe huna mada...afadhali uendelee kuunga juhudi tu..manake mada km hizi huziwezi..ubongo wako bado haujatosha kuchangia katika hili jukwa
Hapo ulipoandika kikamba , ingekuwa ni kiswahili ungeandika ( Ambao) Ingependeza
 
Basi mbona mnalalamika?
Umefanya conclusion ya kwamba tunalalamika, mimi sijalalamika, mchukueni mufassa, simba, pumba, rafiki pamoja na sir batbway Elton John. Animation istufanye tukawa mafirauni. Kama ni wafalme wa nyika serengeti wamejaa tele, Hollywood waende zoo
 
Umefanya conclusion ya kwamba tunalalamika, mimi sijalalamika, mchukueni mufassa, simba, pumba, rafiki pamoja na sir batbway Elton John. Animation istufanye tukawa mafirauni. Kama ni wafalme wa nyika serengeti wamejaa tele, Hollywood waende zoo
I derived my conclusion from the title of this thread.
 
Back
Top Bottom