Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Kwanza, tuanze kwa Amisom kabla hatujaenda mbali. Amisom yenyewe inakuambia Kenya iliingia Somalia 16th October 2011 lakini ilijiunga na Amisom 22nd February 2012. Kwa hivyo fahamu kuwa Kenya walikuwa na miezi minne tu kupepeta Alshabab. Nilifikiri ilikuwa mwaka mzima lakini nimeshangaa kuona kuwa Kenya ilikamata area hilo lote la southern Somalia kwa miezi minne tu. Hilo silo jambo dogo. Tena usije siku nyingine kusema Kenya sio member wa Amisom, watu watakucheka. Ndio tumeanza tu, usiwe na pupa. Nisubiri, nazama nitazuka hivi karibuni. Hii ni official source kutoka website ya Amisom. Utakuwa wazimu ukipinga nilichopost.Lazima ionyeshe kwamba Kenya imetambulika kama nchi iliyofanya kazi kubwa kuliko nchi zingine zote. Iwe imetambulika officially.
Kenya - KDF - AMISOM
October 16th 2011, Kenya Defence Forces moved into Southern Somalia to pursue insurgents group Al Shabaab after a series of kidnappings of tourists along
amisom-au.org
HomeAbout AMISOM AMISOM Mandate AMISOM Background Mission Profile AMISOM Police Humanitarian Work AMISOM Military Component AMISOM Civilian ComponentAbout Somalia Brief History Somali Peace Process Quick Impact ProjectsAMISOM News Featured Electoral Process 2016Press StatementsKey Documents Status of Mission Agreement (SOMA) United Nations Security Council Resolutions AU Statements & ReportsMedia Center AMISOM Magazine AMISOM Videos (News Reports) AMISOM Videos (Broadcasters) Focus On Somalia (Digital Multimedia) Photo Gallery More Resources Accreditation of Journalists Vacancies / Bids
Kenya – KDF
HOME ›› KENYA – KDF
Soldiers of the Kenyan Contingent serving with the African Union Mission in Somalia (AMISOM) stand in front of the black flag of the Al Qaeda-affiliated extremist group Al Shabaab painted on the wall of Kismayo Airport. On 02 October 2012, Kenyan AMISOM troops supporting forces of the Somali National Army and the pro-government Ras Kimboni Brigade moved into and through Kismayo, the hitherto last major urban stronghold of the Al-Qaeda-affiliated extremist group Al Shabaab, on their way to the city’s airport without a shot being fired following a month long operation to liberate towns and villages across southern Somalia from Afmadow and Kismayo itself. AU-UN IST PHOTO / STUART PRICE.
October 16th 2011, Kenya Defence Forces moved into Southern Somalia to pursue insurgents group Al Shabaab after a series of kidnappings of tourists along the border. One month, later Kenyan government agreed to re-hat its forces under the African Union Mission in Somalia.
The troops from Kenya were later formally integrated into AMISOM on February 22, 2012 after the United Nations Security Council passed Resolution 2036.
AMSOM’s Sector 2, which has its headquarters in the port city of Kismayo, is comprised of Lower and Middle Juba. Currently there are 3664 troops from Kenya after they pulled out a battalion when 850 Sierra Leonean troops arrived.