Wakenya : Mlituwekea kauzibe, Leo Mmesahau?

Yes ethiopian troops is regarded very highly, they also have a history of being the only African county never got fully colonized.... But since we are talking about evidenced based discussion here, lets not ely on reputation or heresay, rather lets rely on things that actually happened and are documented by evidence.
1. Unlike Kenya, Ethiopia hua haina vyombo huru vya habari, Kwahivyo habari kama hii iliofanyika majuzi hautaisikia popote kwenye mainstream media, utazipata kwa tu blog twa kisomali . Kuna nyengine ilifanyika 2015 na ikasababisha Ethiopia ianze kuregesha wanajeshi wake upande wa Ethiopia..... Ingia hapa ujionee hilo tukio la 2015
Kumbuka kule Somalia Wanajeshi wa AU wamegawanywa katika Sectors, Ethiopia walipoanza kurudimpakani ikawacha eneo hilo exposed, hii ilisababisha KDF kujigawanya zaidi ili pia walinde hilo eneo manake lilikua haliko mbali na Kenya..

Uganda waliingia Somalia 2007, , Hii ni picha ya Alshabaab Controlled area 2009. Unaona hapo kwa Star ndani ya Mogadishu hapo ndo Uganda ilikua inapigana na alshabaab for control. miaka miwili baadae.
Kumbuka Ethiopia walikua Kismayu in 2005 kabla ya kujitoa, from this map you can see Alshaab was back in full control of all of South Somalia after Ethiopia withdrawal.
Alshabaab 2009

800px-Political_situation_in_Somalia_following_the_Ethiopian_withdrawal.png

Source


KDF iliingia Somalia 2011 bila idhini ya AU/UN wala mtu yoyote, Miaka miwili baadae hivyo ndo picha ilivyokua

somalia-al-shabab-territory-2013_hspi1-768x716.jpg

Source

Kama unavyoona,KDF walikua wanacontrol hilo eneo lote baada ya miaka miwili, Ethiopia nao walipoona KDF wameingia Somalia wakarudi pia hao na walikua wana control hilo eneo la blue wakisaidiana na wanamgambo wa asili ya kisomali wanaotoka ukoo flani ambao hausikizani na Alshabaab,.. Uganda na Burundi ambao ndo walikua Chini ya AU bado walikua wako hapo hapo Mogadishu na vitongoji..



Kama nilivyosema hapo juu, hilo tukio la 2015 lilisababisha Ethiopia kuregesha wanajeshi wake, kitu kilichofanya KDF wmbao wako na wanajeshi chini ya 3,600 kujigawanya zaidi ili ku patrol hio sector iliowachwa na Ethiopia,
Hivyo ndivyo Sector ziligawanywa baada ya KDF kujiunga na AMISOM.
Uganda ndo inaongoza with 6,700 troops,ikifwatwa na Burundi 5,432, Ethiopia 5,395, Kenya 3,664, Djibouti 960.
somalia-amisom-2.jpg

Kama unavyoona, Kenya iko ndani ya Sector 2, Lakini shambulizi ya kambi ya kijeshi lililofanyika Jan,2016 kwa kambi ya KDF iliokua na wanajeshi 200 ilifanyika Eladde ndani ya Sector 3 ambapo Ethiopia ndoo wanafaa walikua wanalinda, lakini baada ya kujiondoa KDF ilibidi ijipeleke huko manake ElAdde haiko mbali na Kenya.



2014, KDF ikiwa ishajiunga na AMISOM na inaendelea na kazi. Ethiopia ilikua inashikilia kaeneo kadogo sana, huko kwengine wameachia wanamgambo wa asili ya kisomali ambao hawasikizani na Alshabaab.... KDF na wanajeshi wake 3,600 bado inaendelea kupiga doria hilo eneo lote..
_69280941_som_controlled_areas_070513.gif

Source


Ukilinganisha hizo AMISOM sectors na maeneo ambapo Alshabaab bado hupiga Doria wazi wazi unajionea mwenyewe kua licha ya KDF kua na wanajeshi wachache zaidi ndio imefanyikiwa kushikilia doria kubwa zaidi, Uganda na Burundi ndani ya Sector 1 na sector 5 bado wanashikilia Mogadishu na vitongoji na pia hio barabara ya kuelekea Ethiopia ili magari yao yawe yanaweza kuleta mizigo hadi mogadishu.



Bonus: Ethiopia Defence industry ni ya kuigwa https://defence-blog.com/army/ethiopia-produces-israels-thunder-armored-vehicles-under-license.html
Kwanza sio kweli kwamba hatujui kinachotokea Ethiopia kwasababu hakuna Uhuru wa habari, hiyo ni sababu mbayotumia kuhalalisha udhahifu wenu, kama mauaji ya watu wa kabila la Oromo yanayofanywa na POLISI wa Ethiopia yanaripotiwa na vyombo mbalimbali na dunia inajua, vipi kuhusu mashambulizi ya Alshabab yatokee Ethiopia dunia isijue?.

Kitu usichojua ni kwamba, jeshi la Amison lilipiundwa kwenda Somalia, kila nchi ilipewa Eneo maalumu la kwenda kukomboa. Uganda walipewa kazi ya kuwatoa Alshabab Mogadishu na viunga vyake, ili kulinda Ikulu na kurudisha Serikali ya Somalia, hiyo kazi walikamilisha, Burundi nao walipewa kukomboa hili Eneo karibu na Mogadishu kama uonavyo katika hiyo ramani. Baada ya Uganda na Burundi kukomboa maeneo waliyopangiwa, kazi kubwa ni kuyalinda na kufundisha jeshi la Somalia ili waweze kujilinda, Uganda na Burundi hawana jukumu la kukomboa maeneo mengine ndio sababu husikii wakisogea hata kilometer moja.

Djibouti yenye askari 900 tu, ndio nchi iliyokomboa sehemu kubwa na wanalinda eneo hilo toka 2015(Block 4).

Kenya na Ethiopia, sio miongoni mwa nchi zilizochaguliwa kuunda jeshi la AMISON, Ethiopia imekua ikishambulia Ethiopia Mara kwa Mara tangu kuanguka kwa Said Barre, kwasababu wanashutumu waasi wa Ethiopia kutoka Jimbo la Somaliland kwamba wanaishambulia Ethiopia na kukimbilia ndani ya Ethiopia, Jeshi la Ethiopia linaingia Somalia sio kwa lengo la kuwapiga Alshabab, lengo lao ni kutengeneza "buffer zone" ili wapinzani wa serikali ya Ethiopia toka jimbo la Somali land ambao wengi ni waisilamu wanapata misaada toka Somalia, kwahiyo majeshi ya Ethiopia yakikaa Somalia kwa muda, huwa yanatoka na kurudi Ethiopia, kumbuka hayapo chini ya Amisom kwahiyo hawapati support ya pesa toka UN.

Kenya ninyi mlienda kwa interest zenu, kwa ujumla ninyi haikujulikana kwa uwazi nini hasa malengo yenu, mwanzo mlisema mnataka kuzuia Alshabab wasishambulie Kenya, tulitegemea mtatengeneza "buffer zone", ghafla mkaanza kuzidi kuingia ndani, bila kujiandaa, kwasababu kama lengo lenu lilikua kwenda kukomboa sehemu kubwa ya Somalia, ni wazi kwamba mngejipanga kwenda na jeshi kubwa litakaloweza kuteka sehemu kubwa ya Somalia, matokeo yake mumezidi kusonga mbele mkiwa na askari wachache ukilinganisha na ukubwa wa eneo, sasa mnauliwa kila siku kutokana na poor planning kuanzia mwanzo.

Kwa kifupi, nchi zote zilizochaguliwa kuunda Jeshi la AMISOM, walipewa majukumu na eneo maalumu toka Mwanzo, walijipanga vizuri na walianda vikosi vyao kulingana na ukubwa wa eneo na majukumu waliyopangiwa, ndio sababu hawauliwi sana kama KDF. Ninyi hamkujipanga, mlikurupuka sana, ndio sababu jeshi lenu linapigwa sana na Alshabab kwasababu ya " Poor planning from the beginning due to luck of precise Vision and missions and very poor military intelligence "
 
Kwanza sio kweli kwamba hatujui kinachotokea Ethiopia kwasababu hakuna Uhuru wa habari, hiyo ni sababu mbayotumia kuhalalisha udhahifu wenu, kama mauaji ya watu wa kabila la Oromo yanayofanywa na POLISI wa Ethiopia yanaripotiwa na vyombo mbalimbali na dunia inajua, vipi kuhusu mashambulizi ya Alshabab yatokee Ethiopia dunia isijue?.

Kitu usichojua ni kwamba, jeshi la Amison lilipiundwa kwenda Somalia, kila nchi ilipewa Eneo maalumu la kwenda kukomboa. Uganda walipewa kazi ya kuwatoa Alshabab Mogadishu na viunga vyake, ili kulinda Ikulu na kurudisha Serikali ya Somalia, hiyo kazi walikamilisha, Burundi nao walipewa kukomboa hili Eneo karibu na Mogadishu kama uonavyo katika hiyo ramani. Baada ya Uganda na Burundi kukomboa maeneo waliyopangiwa, kazi kubwa ni kuyalinda na kufundisha jeshi la Somalia ili waweze kujilinda, Uganda na Burundi hawana jukumu la kukomboa maeneo mengine ndio sababu husikii wakisogea hata kilometer moja.

Djibouti yenye askari 900 tu, ndio nchi iliyokomboa sehemu kubwa na wanalinda eneo hilo toka 2015(Block 4).

Kenya na Ethiopia, sio miongoni mwa nchi zilizochaguliwa kuunda jeshi la AMISON, Ethiopia imekua ikishambulia Ethiopia Mara kwa Mara tangu kuanguka kwa Said Barre, kwasababu wanashutumu waasi wa Ethiopia kutoka Jimbo la Somaliland kwamba wanaishambulia Ethiopia na kukimbilia ndani ya Ethiopia, Jeshi la Ethiopia linaingia Somalia sio kwa lengo la kuwapiga Alshabab, lengo lao ni kutengeneza "buffer zone" ili wapinzani wa serikali ya Ethiopia toka jimbo la Somali land ambao wengi ni waisilamu wanapata misaada toka Somalia, kwahiyo majeshi ya Ethiopia yakikaa Somalia kwa muda, huwa yanatoka na kurudi Ethiopia, kumbuka hayapo chini ya Amisom kwahiyo hawapati support ya pesa toka UN.

Kenya ninyi mlienda kwa interest zenu, kwa ujumla ninyi haikujulikana kwa uwazi nini hasa malengo yenu, mwanzo mlisema mnataka kuzuia Alshabab wasishambulie Kenya, tulitegemea mtatengeneza "buffer zone", ghafla mkaanza kuzidi kuingia ndani, bila kujiandaa, kwasababu kama lengo lenu lilikua kwenda kukomboa sehemu kubwa ya Somalia, ni wazi kwamba mngejipanga kwenda na jeshi kubwa litakaloweza kuteka sehemu kubwa ya Somalia, matokeo yake mumezidi kusonga mbele mkiwa na askari wachache ukilinganisha na ukubwa wa eneo, sasa mnauliwa kila siku kutokana na poor planning kuanzia mwanzo.

Kwa kifupi, nchi zote zilizochaguliwa kuunda Jeshi la AMISOM, walipewa majukumu na eneo maalumu toka Mwanzo, walijipanga vizuri na walianda vikosi vyao kulingana na ukubwa wa eneo na majukumu waliyopangiwa, ndio sababu hawauliwi sana kama KDF. Ninyi hamkujipanga, mlikurupuka sana, ndio sababu jeshi lenu linapigwa sana na Alshabab kwasababu ya " Poor planning from the beginning due to luck of precise Vision and missions and very poor military intelligence "
Huwezi pinga jambo lolote ambalo mwenzako amepost kwa sababu amepost kutoka source, kama una tatizo na hilo report basi ni vyema utafute mwandishi wa hilo ripoti kwa sababu Kafrikan sio mwandishi. Kila mtu mwenye amewahi fuatilia hili jambo bila roho mbaya na Kenya anajua Kenya ilibadilisha mambo Somalia, wewe tu ndio hujui. Kuchukia Kenya ni sawa lakini si sawa kukataa kabisa contributions za Kenya huko Somalia, hata Yesu alisema ya kaisari mpe kaisari. Hamna mtu anayepingana na kilichopostiwa na Kafrican isipokuwa wewe.
 
Kafrikan katumia source ambazo huku tunaita vyanzo uchwara aka vijarida cha hovyo

Kubwa zaidi ni kuwa mpaka sasa KDF yenyewe haijui kama wamepata ushindi Somalia au bado maana hawajui kwa nini wapo Somalia
Huwezi pinga jambo lolote ambalo mwenzako amepost kwa sababu amepost kutoka source, kama una tatizo na hilo report basi ni vyema utafute mwandishi wa hilo ripoti kwa sababu Kafrikan sio mwandishi. Kila mtu mwenye amewahi fuatilia hili jambo bila roho mbaya na Kenya anajua Kenya ilibadilisha mambo Somalia, wewe tu ndio hujui. Kuchukia Kenya ni sawa lakini si sawa kukataa kabisa contributions za Kenya huko Somalia, hata Yesu alisema ya kaisari mpe kaisari. Hamna mtu anayepingana na kilichopostiwa na Kafrican isipokuwa wewe.
 
Huwezi pinga jambo lolote ambalo mwenzako amepost kwa sababu amepost kutoka source, kama una tatizo na hilo report basi ni vyema utafute mwandishi wa hilo ripoti kwa sababu Kafrikan sio mwandishi. Kila mtu mwenye amewahi fuatilia hili jambo bila roho mbaya na Kenya anajua Kenya ilibadilisha mambo Somalia, wewe tu ndio hujui. Kuchukia Kenya ni sawa lakini si sawa kukataa kabisa contributions za Kenya huko Somalia, hata Yesu alisema ya kaisari mpe kaisari. Hamna mtu anayepingana na kilichopostiwa na Kafrican isipokuwa wewe.
Hahahahaha, hakuna source yoyote ile iliyosema Kenya au nchi moja ndiyo iliyobadilisha hali ya mambo huko Somalia, Actually kuna clip ya video nitakuwekea inamupnyesha kamanda wa jeshi la Uganda Somalia akihojiwa na wana habari akisema Uganda ndio iliyofanya kazi kubwa ya kuwang'oa Alshabab toka Mogadishu ambako waliwanyang'anya silaha nyingi na waliwauwa na kuwadhohofisha sana.

Alicholeta Kafrika ni ramani inayoonyesha maeneo ya Somalia wanayoshikiliwa na majeshi ya nchi Mbalimbali. Hiyo Ramani inaonyesha bado Djibouti pamoja na kuwa na wanajeshi wachache sana(900), ndiyo iliyokomboa sehemu kubwa ya nchi kuliko Kenya yenye wanajeshi 3,400. Kama kigezo ni kukomboa eneo kubwa basi Djibouti ndio ingetajwa kuwa ndio iliyofanya kazi kubwa.
 
Unachojaribu kusema ni kuwa Kenya sasa hivi haiko Amisom?
Tony245, nimeandika kwa kirefu sana na Nina uhakika umeelewa. Kila nchi huko Somalia ilipewa target na malengo na AU kabla ya kwenda Somalia, Kenya na Ethiopia hazikupewa targets wala eneo la kwenda kukomboa huko Somalia, zilijipekeka kwa interest zao. Hivyo kutumia kigezo cha ukubwa wa eneo linaloshikiliwa na nchi huko Somalia kuwa ndio kiashiria cha nchi hiyo ndio iliyofanya kazi kubwa Somalia sio kweli, Uganda na Burundi walipewa jukumu la kukomboa miji mikubwa na eneo dogo kutokana na ugumu wa maeneo yenyewe kuwa ni makazi ya watu sio msitu kama maeneo yaliyopewa Djibouti.

By the way, nchi ikifanya vizuri huwa inatambuliwa rasmi na AU au UN na kukabidhiwa rasmi medali, hili lilifanyika huko DRC baada ya Tanzania kuwashinda M23, mbona halijafanyika kwa KDF huko Somalia, badala yake ninyi mwenyewe ndio mnaamua kujisifia?
 
Kenya has the most powerful military in East Africa, Kenya has the most quality education in East Africa, Kenya is the only Democratic country in East Africa.

When it comes someone is against Kikuyu leaders is murdered. What democracy ur talking about?
 
Hahahahaha, hakuna source yoyote ile iliyosema Kenya au nchi moja ndiyo iliyobadilisha hali ya mambo huko Somalia, Actually kuna clip ya video nitakuwekea inamupnyesha kamanda wa jeshi la Uganda Somalia akihojiwa na wana habari akisema Uganda ndio iliyofanya kazi kubwa ya kuwang'oa Alshabab toka Mogadishu ambako waliwanyang'anya silaha nyingi na waliwauwa na kuwadhohofisha sana.

Alicholeta Kafrika ni ramani inayoonyesha maeneo ya Somalia wanayoshikiliwa na majeshi ya nchi Mbalimbali. Hiyo Ramani inaonyesha bado Djibouti pamoja na kuwa na wanajeshi wachache sana(900), ndiyo iliyokomboa sehemu kubwa ya nchi kuliko Kenya yenye wanajeshi 3,400. Kama kigezo ni kukomboa eneo kubwa basi Djibouti ndio ingetajwa kuwa ndio iliyofanya kazi kubwa.
Wewe jamaa sijui shida yako nini. Wacha yaishe kwani sina time ya kuargue
 
Kama ungekuwa mtu genuine hungepinga facts unazopewa.
Facts ni kusema KDF wamezidi Ethiopia Army huko Somalia wakati Ethiopia Army is 5 times better in all sectors with bigger long experience on field than KDF?. With this type of mentality, expect nothing but hatred from not only Tanzania but other countries as well.
 
Facts ni kusema KDF wamezidi Ethiopia Army huko Somalia wakati Ethiopia Army is 5 times better in all sectors with bigger long experience on field than KDF?. With this type of mentality, expect nothing but hatred from not only Tanzania but other countries as well.
Kwani tunacompare ukubwa wa Ethiopia army na KDF ama tunaongea kuhusu contributions za KDF Somalia? Unaona ulivyochanganyikiwa hata hujui tunaongea kuhusu nini?
 
Kwani tunacompare ukubwa wa Ethiopia army na KDF ama tunaongea kuhusu contributions za KDF Somalia? Unaona ulivyochanganyikiwa hata hujui tunaongea kuhusu nini?
Wewe umeona wapi mtu mwenye busara akajisifia kwa kazi nzuri aliyofanya kama sio ulimbukeni, Kumbuka anayejikweza hushushwa". Tulitegemea UN au AU ndio wawasifie na kuwapa nishani iliyotukuka kutokana na kazi nzuri, kamwe hakuna nchi wala organization ya kimataifa wala kutoka Africa iliyotambua utendaji mzuri wa KDF huko Somalia, ninyi wakenya ndio mnaojisifia wenyewe wakati. Mbona Tanzania tulitunukiwa nishani kwa kazi nzuri ya kuwapiga M23, mbona ninyi hamjapewa, nani aliyesema kwamba KDF ndiyo iliyofanya kazi kubwa kuliko nchi zingine zilizoko Somalia?. Punguzeni SIFA za kijinga, " Work in silence and let your success to be your noises ".
 
Wewe umeona wapi mtu mwenye busara akajisifia kwa kazi nzuri aliyofanya kama sio ulimbukeni, Kumbuka anayejikweza hushushwa". Tulitegemea UN au AU ndio wawasifie na kuwapa nishani iliyotukuka kutokana na kazi nzuri, kamwe hakuna nchi wala organization ya kimataifa wala kutoka Africa iliyotambua utendaji mzuri wa KDF huko Somalia, ninyi wakenya ndio mnaojisifia wenyewe wakati. Mbona Tanzania tulitunukiwa nishani kwa kazi nzuri ya kuwapiga M23, mbona ninyi hamjapewa, nani aliyesema kwamba KDF ndiyo iliyofanya kazi kubwa kuliko nchi zingine zilizoko Somalia?. Punguzeni SIFA za kijinga, " Work in silence and let your success to be your noises ".
Umenifanya nizame kwenye research yangu japo sikua nataka lakini sasa imenibidi nikufunze kama mtoto mdogo. Mimi huwa lazy sana lakini usitoroke subiri nakuja na research yangu kuhusu KDF in Somalia.
 
Umenifanya nizame kwenye research yangu japo sikua nataka lakini sasa imenibidi nikufunze kama mtoto mdogo. Mimi huwa lazy sana lakini usitoroke subiri nakuja na research yangu kuhusu KDF in Somalia.
Lazima ionyeshe kwamba Kenya imetambulika kama nchi iliyofanya kazi kubwa kuliko nchi zingine zote. Iwe imetambulika officially.
 


Here was a massacre to your lazy robbers in the name of soldiers in Somalia but your authorities lied the real figures of more than 150 killed, more than 400 KDF soldiers killed and I did not mention civilians from garisa, mpeketoni, westgate, and other dozens of attacks
Nasikia kuna wajeda walinajisiwa kabisa.
 
hao wanajeshi mia nne kwn hawana familia...bwahahaa.....
endelea kueneza chuki dhidi ya wakenya tu...mili ililetwa kitu 150 hv na basi..haya hao 250 wataka kusema waliletwa kisirisiri..heheeee...kweli uchawi tanzania ni janga la taifa...

unafikiria ni mkenya gani anaweza kubali eti mili isiletwe na mtu wao asionekane...ungeliona kivumbi kenya.....hku watu hawaburuzwi..danganya raia kw vitu vngne wala si mili ya wapenda wao...alafu nikuulize...hyo mili ya hao wanajeshi 250 mazishi yalifanyika wapi...

bwahahaa...povu rukhsa..
Sasa hilo ni jeshi au maandazi yaani single attack wajeshi zaidi ya 150 wamauawa na wengine wananajisiwa duu....this is Kenya.
 
Back
Top Bottom