Wakenya : Mlituwekea kauzibe, Leo Mmesahau?

1)Kenya iliongoza formation ya CoW, Tanzania haikushiriki, CoW died
2)Kenya iliongoza kampeni ya EAC kujiunga na EPA, Tanzania ilipinga. EAC haikujiunga na EPA.
3) Kenya iliongoza kuanzishwa kwa " East Africa single tourist visa, Tanzania tulikata kujiunga, pamoja na nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanzisha, lakini hili zoezi limekufa.
4)Kenya ilizuia gari za utalii toka Tanzania kufikia JKIA, Tanzania tukapunguza safari za KQ, Kenya ikasalimu AMRI, gari za Tanzania zikaruhusiwa kufikia JKIA.
5) Kenya imepiga kelele kutaka tufungue Bologojo entry point kati ya Serengeti na Masai Mara, Tumekataa hadi leo,
6) Tulikama Ng'ombe za wakenya na kuziuza, hakuna kitu Kenya ilifanya zaidi ya kulialia tu.

Hii inaonyesha kwamba Tanzania inachotaka ndio kitakachotokea hapa EAC
Tulichoma vifaranga
 
Niletee figures sitaki maneno mingi za kichawi. Bring on the figures.


Here was a massacre to your lazy robbers in the name of soldiers in Somalia but your authorities lied the real figures of more than 150 killed, more than 400 KDF soldiers killed and I did not mention civilians from garisa, mpeketoni, westgate, and other dozens of attacks
 
Kadanganye wapuuzi, mmeshauwawa kama 600 lakini mlioua hawazidi 20
Wewe naye waongea kama mtu asiye na akili kabisa. Kismayu, Afmadow, Ras Kamboni na the whole of eastern sector of Somalia ilitekwa na KDF chini ya mwaka mmoja. Peleka uongo huko kwa Watanzania wenzako ambao ni rahisi kuwadanganya, sio hapa kwa watu wazima.
 
Wewe naye waongea kama mtu asiye na akili kabisa. Kismayu, Afmadow, Ras Kamboni na the whole of eastern sector of Somalia ilitekwa na KDF chini ya mwaka mmoja. Peleka uongo huko kwa Watanzania wenzako ambao ni rahisi kuwadanganya, sio hapa kwa watu wazima.
Ni Kweli INAUMA Ila Ndio Ukweli Mchungu
 
Leo nikiwa nimepumzika nikaamua kuingia JF kusoma mada mbalimbali na moja ya mada zilizonishangaza ni ile ya ujenzi wa bwawa la umeme mto mara. Nimeshangaa jinsi Wakenya wanavyo jitutumua kwa nini wajenge bwawa huku wakitulalamikia sisi kutotaka wao kujenga. Moja ya hoja ya msingi iliyoelezwa na wadau ni ile ya kuharibu mazingira, kutokana na ecosystem ya Serengeti kutegemea mto mara.

Tukirudi nyuma, miaka michache iliyopita watu wa mkoa wa mara walitaka kujengewa barabara kuelekea Musoma kupitia mbuga ya Serengeti, kupunguza umbali wa safari ukilinganisha na hii ya sasa. Wakenya walipiga kelele sana, wakizunguka dunia nzima kupinga hiyo barabara isijengwe kwasababu za kimazingira ikiwa ni pamoja na kusumbua wanyama ambao huenda hadi Kenya.

>>> Wakenya waanza kulialia baada ya tanzania kuthibitisha kuanza ujenzi wa barabara kupitia serengeti
>>> Nyie kenya ujenzi wa barabara mbuga ya serengeti nini tatizo

Cha kushangaza leo wameanzisha mpango wa kujenga bwawa la kuzalisha umeme mto Mara na Tanzania imekuwa ikipinga kuwa bwawa hilo litaharibu ecosystem ya serengeti. Sasa kama mlipinga barabara yetu kujengwa kwasababu ya mazingira inakuwaje leo msiwe rafiki wa hayo mazingira kwa kujenga bwawa mbugani?
Narudia tena wakenya wamekuwa si marafiki zetu, bali ni accidental neighbours.
 
Na nyie mtaambiwa msijenge Stiglers hizi siasa
Leo nikiwa nimepumzika nikaamua kuingia JF kusoma mada mbalimbali na moja ya mada zilizonishangaza ni ile ya ujenzi wa bwawa la umeme mto mara. Nimeshangaa jinsi Wakenya wanavyo jitutumua kwa nini wajenge bwawa huku wakitulalamikia sisi kutotaka wao kujenga. Moja ya hoja ya msingi iliyoelezwa na wadau ni ile ya kuharibu mazingira, kutokana na ecosystem ya Serengeti kutegemea mto mara.

Tukirudi nyuma, miaka michache iliyopita watu wa mkoa wa mara walitaka kujengewa barabara kuelekea Musoma kupitia mbuga ya Serengeti, kupunguza umbali wa safari ukilinganisha na hii ya sasa. Wakenya walipiga kelele sana, wakizunguka dunia nzima kupinga hiyo barabara isijengwe kwasababu za kimazingira ikiwa ni pamoja na kusumbua wanyama ambao huenda hadi Kenya.

>>> Wakenya waanza kulialia baada ya tanzania kuthibitisha kuanza ujenzi wa barabara kupitia serengeti
>>> Nyie kenya ujenzi wa barabara mbuga ya serengeti nini tatizo

Cha kushangaza leo wameanzisha mpango wa kujenga bwawa la kuzalisha umeme mto Mara na Tanzania imekuwa ikipinga kuwa bwawa hilo litaharibu ecosystem ya serengeti. Sasa kama mlipinga barabara yetu kujengwa kwasababu ya mazingira inakuwaje leo msiwe rafiki wa hayo mazingira kwa kujenga bwawa mbugani?
 
Wewe naye waongea kama mtu asiye na akili kabisa. Kismayu, Afmadow, Ras Kamboni na the whole of eastern sector of Somalia ilitekwa na KDF chini ya mwaka mmoja. Peleka uongo huko kwa Watanzania wenzako ambao ni rahisi kuwadanganya, sio hapa kwa watu wazima.
Kismayo hapakua na Mapigano yoyote, Alshababu waliondoka baada ya kuwa walikuwa wiki, kumbuka kwamba Alshabab sio jeshi linalomiliki silaha kubwa na za kisasa, hawana uwezo wa kupigana vita ya moja kwa moja, wao hutumia gorilla war tactics, walipogundua KDF wanakaribi Kismayu, waliondoka na kukimbilia msituni.
 
hao wanajeshi mia nne kwn hawana familia...bwahahaa.....
endelea kueneza chuki dhidi ya wakenya tu...mili ililetwa kitu 150 hv na basi..haya hao 250 wataka kusema waliletwa kisirisiri..heheeee...kweli uchawi tanzania ni janga la taifa...

unafikiria ni mkenya gani anaweza kubali eti mili isiletwe na mtu wao asionekane...ungeliona kivumbi kenya.....hku watu hawaburuzwi..danganya raia kw vitu vngne wala si mili ya wapenda wao...alafu nikuulize...hyo mili ya hao wanajeshi 250 mazishi yalifanyika wapi...

bwahahaa...povu rukhsa..
 
Serikali ya Kenya haijawahi kulalamika kuhusu ujenzi wa barabara Serengeti, Kenya kama nchi haijawahi kuwa na tatizo kwa hilo, waliokua wanalalamika ni asasi za kijamii.
Lakini hili la sasa serikali ya Tanzania ndio inalialia.
Binafsi siungi mkono ujenzi wa hili bwawa bila ya tathmini zote za kimazingira kufanywa, Watanzania wasitupe tabu, cha msingi tujali vizazi vyetu vya kesho na tunawaachia nchi ikiwa vipi.
Mkuu ishasemwa kuna athari za kimazingira na kwa wanyama..what more should we say
 
Bring the figures si maneno za mchawi kama wewe.
Countrymen from the powerful military state of Kunya are killed like chickens in the slaughter house at a go by barefoot boys. 😂😂😂

 
Kismayo hapakua na Mapigano yoyote, Alshababu waliondoka baada ya kuwa walikuwa wiki, kumbuka kwamba Alshabab sio jeshi linalomiliki silaha kubwa na za kisasa, hawana uwezo wa kupigana vita ya moja kwa moja, wao hutumia gorilla war tactics, walipogundua KDF wanakaribi Kismayu, waliondoka na kukimbilia msituni.
Gorilla war------ guerilla war
Wakenya waliitwa monkeys na mchina na wewe umetuhakikishia kwamba nyie ni gorillas. Mtatandikwa sana. Watz wanaogopa wakenya SANA
 
Ni Kweli INAUMA Ila Ndio Ukweli Mchungu
Chunguza Somalia ilikuwaje kabla Kenya kuingia huko kupepeta Al-shabab mwaka wa 2012. Kabla ya Kenya kuingia Somalia, Shababi walikuwa wanacontrol Somalia yote isipokuwa Mogadishu ambayo ilikuwa imeshatekwa na UPDF ya Uganda. Isipokuwa Mogadishu, towns zingine zote za Somalia zilikuwa chini ya Al-shabab na huo ni ukweli ambao pia Amisom wamedhibitisha. Kenya ilipoingia Somalia, ilirarua Shababi na kuwaondoa from the Eastern, central and western sectors. Shababi saa hii wako southern sector pekee. Shababi tungewamaliza lakini Marekani walilia sana eti tuingie Amisom kwa sababu tuliingia Somalia bila ruhusa ya U.N.
 
1)Kenya iliongoza formation ya CoW, Tanzania haikushiriki, CoW died
2)Kenya iliongoza kampeni ya EAC kujiunga na EPA, Tanzania ilipinga. EAC haikujiunga na EPA.
3) Kenya iliongoza kuanzishwa kwa " East Africa single tourist visa, Tanzania tulikata kujiunga, pamoja na nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuanzisha, lakini hili zoezi limekufa.
4)Kenya ilizuia gari za utalii toka Tanzania kufikia JKIA, Tanzania tukapunguza safari za KQ, Kenya ikasalimu AMRI, gari za Tanzania zikaruhusiwa kufikia JKIA.
5) Kenya imepiga kelele kutaka tufungue Bologojo entry point kati ya Serengeti na Masai Mara, Tumekataa hadi leo,
6) Tulikama Ng'ombe za wakenya na kuziuza, hakuna kitu Kenya ilifanya zaidi ya kulialia tu.

Hii inaonyesha kwamba Tanzania inachotaka ndio kitakachotokea hapa EAC
Bado walichampion EA political federation...bado haikupita kama wanavyotaka...koz lengo lao lilikuwa ardhi
 
That applies for EPA only, what about CoW, about tourist visa, about your cows, about blocking our vans to JKIA, all these could be go on without all countries to agree, but failed because of Tanzania's influences in EAC
You will remain inferior Kenya ndo maana mnalia Kenya imeiba mlima yenyu. What a satanic nation!
 


Here was a massacre to your lazy robbers in the name of soldiers in Somalia but your authorities lied the real figures of more than 150 killed, more than 400 KDF soldiers killed and I did not mention civilians from garisa, mpeketoni, westgate, and other dozens of attacks
The video says over 60 where are those 400? Ama English ndo huelewi?
 
You will remain inferior Kenya ndo maana mnalia Kenya imeiba mlima yenyu. What a satanic nation!
Usikimbie mada, ukweli ni kwamba Tanzania ndio taifa kubwa hapa EAC, tunachotaka ndio kinatendeka hapa EAC. Mkileta ujinga tunawatumia J-7 fighter jets saba pekee zinawasambaratisha, you can't intercept them or challenge them.
 
Kismayo hapakua na Mapigano yoyote, Alshababu waliondoka baada ya kuwa walikuwa wiki, kumbuka kwamba Alshabab sio jeshi linalomiliki silaha kubwa na za kisasa, hawana uwezo wa kupigana vita ya moja kwa moja, wao hutumia gorilla war tactics, walipogundua KDF wanakaribi Kismayu, waliondoka na kukimbilia msituni.
Maneno ya mchawi hayo. Show us prove that supports your claim you lazy witch.
 
Back
Top Bottom