Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,436
- 2,134
Nadhani huijui nairobi vizuri.
Nairobi ni kubwa imepangiliwa na imejengeka Kuliko Dar hili haina Ubishi!
Ni kweli, mkuu. Mimi huwa nashabikia Dar kwa vile ndani ya nchi yetu. Lakini jiji letu kweli limekaa kienyeji sana. Unaposhuka na ndege, unaanza kuona aibu mji unavyoonekana toka juu ukilinganisha na majijji mengine yalivyojipanga.