watanzania ebu angalieni wakenya wameamua kupeleka uwanja wa ndege karibu na mlima kilimanjaro kwa upande wa kwenya kweli tutapata wageni wa kutua uwanja wa ndege kia, tatizo nini? Au nikuwa na viongozi wasiokuwa na mtizamo? Wenzetu wanaamua kuuteka mlima wetu uwe wao kwa upande wao