Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,414
Kuna kuhesabu kura wamebadili sheria jana ndo kunaleta shida kwa ss..
Muda wote huo walikuwa wapi wasibadili,UK amenusa kushindwa anatafuta mbinu za kumuokoa kwa kuchomeka vipengele ambavyo vitamsaidia kuiba kuraunajua nii walijadili bungeni kabla ya muswada kupitishwa?
Kwahiyo na wakenya hawakuwa na nia ya dhati kabisaSULUHISHO: Msianzishe kwa nia ya kuridhisha upinzani au kuxima kelele za wananchi muanzishe kwa nia ya dhati ya kuleta mabadiliko na hapo hutaskia kelele za upinzani kma unavyodai.
Kwa kweli kama katiba inayotakiwa ni hii inayotoa Uhuru wa kupitiliza, mtu anamtukana hadi mkuu wa nchi bora tubaki na katiba yetu, ili tuendelee kuheshimiana,Nimesoma kwamba kuna mswada umepelekwa Bungeni kuhusu baadhi ya marekebisho ya jinsi uchaguzi utakavyofanyika, Bunge la Kenya limeridhia na kuupitisha, sasa Vyama vya Upinzani ambavyo vina wawakilishi Bungeni vinataka kuitisha maandamanio nchi nzima ya kupinga na kumshikiza raisi wa nchi hiyo asisaini kuwa Sheria, sasa Bunge lina maana gani, kama kila mtu asipokubaliana na jinsi Bunge lilivyopitisha basi huingia barabarani kufanya uharibifu ili kushinikiza matakwa yake?
Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!
Mods wekeni kitufe cha dislike, posts kama hizi zinanipa kinyaa mno.Una jua sisi VIUMBE VYEUSI huwa tuna matatzo sana maana kamwe HATUWEZI RIDHIKA KWA KILE TUNACHOKIITAJI PALE TUNAPOKIPATA.....haya yanayotokea NCHINI KENYA ni mfano tosha kabsa ya HATA SISI HUKU siku tukipata hitaji la kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI still bado kutatokea WAPUUZI kusema TUME HII YA UCHAGUZI SI HURU...KAMA INAVYOTOKEA SASA NCHINI KENYA......watanzania WENZANGU TUTUNZE AMANI YETU hili ni JAMBO MOJA SANA LA muhimu....KINACHOTURUDISHA NYUMA MPAKA SASA NI KUWA NA VIONGOZI WA UPINZANI WAAJABU SANA wanaoangalia KUUDUMIA matumbo yao Badaala ya kutumiza WAJIBU WAO KAMA VIONGOZI....
Kenya hakuna chama dola kila chama kinajua kitapita tu kwa hiyo walianzisha kwa nia njema kabisa sema mchakato ukaingiliwa na wahuni wachache wenye uroho wa madaraka na ukabila.Kwahiyo na wakenya hawakuwa na nia ya dhati kabisa
Ni suluhu ya mambo mengi maana hutoa muongozo wa mambo yote muhin ya nchi na kila mwananchi anatakiwa kuyafuata so ni kitu muhim sana. Na inaweza kuwa suluhisho la kila kitu kama viongozi hawatoingilia utekelezaji wa katiba hiyo mfano tume huru zanzibar lakini bado mkapa alienda unguja kumshinikiza jecha kufuta matokeo. sasa hapo kuna utekelezaji wa katiba kihaki kabisa???Katiba mpya sio suluhu ya kila kitu!
dont generalise eti BUNGE LIMEPITISHA..... we ulifuatilia step by step na hoja za wapinzani dhidi ya serikali??? Hukuona nguvu kubwa iliyotumiwa na watawala kuhakikisha muswada ule unapitishwa ambao kila mwenye akaili anajua ndio utakuwa kaburi la upinzani mwakani. Ni kama hapa tanzania useme eti RASIMU YA CHENGE ILIRIDHIWA NA BUNGE bila kufuatilia process nzima ndo utagundua wapinzani hoja zao zilitupwa mbali na kwa kutumia mabavu wakaweka mapendekezo ya upande mmoja tu.Nimesoma kwamba kuna mswada umepelekwa Bungeni kuhusu baadhi ya marekebisho ya jinsi uchaguzi utakavyofanyika, Bunge la Kenya limeridhia na kuupitisha, sasa Vyama vya Upinzani ambavyo vina wawakilishi Bungeni vinataka kuitisha maandamanio nchi nzima ya kupinga na kumshikiza raisi wa nchi hiyo asisaini kuwa Sheria, sasa Bunge lina maana gani, kama kila mtu asipokubaliana na jinsi Bunge lilivyopitisha basi huingia barabarani kufanya uharibifu ili kushinikiza matakwa yake?
Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!
acha ubaguzi mkuu... r u sure ODM ipo ujaluoni tu?? hivi hujui ODM ndio chama kikubwa zaidi kenya kwenye uwakilishi bungeni hao jubilee ni ushirikiano tu ila kila chama kikisimama peke ake ODM kipo na wawakilishi wengi zaidi sasa unataka kusema majimbo mengi ya uchaguzi yako ujaluoni???Sasa hayo maneno gani tena. Saa hizi wanauana kupitia mgomo wa madaktari na manesi wote nchi nzima kwa wiki 3 sasa. Si watamalizana sasa kama na hayo maandamano ya Wajaluo yakianza?
Something must be done now by the international community and especially the east african community before such a thing happens.
Mbinu alizomfanyia Magufuli kuingia magogoni si afanye nae apate kua Rais?ametuchosha kilamwaka .
Sindano imekuingia vilivyo poleYa Kenya hayakuhusu ndewe wala sikio.
Kalb wahed!