Wakenya hawaielewi Katiba yao wenyewe!

unajua nii walijadili bungeni kabla ya muswada kupitishwa?
Muda wote huo walikuwa wapi wasibadili,UK amenusa kushindwa anatafuta mbinu za kumuokoa kwa kuchomeka vipengele ambavyo vitamsaidia kuiba kura
Na Raila akichukua wanaogopa ata over haul mfumo wote wa rushwa na ukabila
 
SULUHISHO: Msianzishe kwa nia ya kuridhisha upinzani au kuxima kelele za wananchi muanzishe kwa nia ya dhati ya kuleta mabadiliko na hapo hutaskia kelele za upinzani kma unavyodai.
Kwahiyo na wakenya hawakuwa na nia ya dhati kabisa
 
Nimesoma kwamba kuna mswada umepelekwa Bungeni kuhusu baadhi ya marekebisho ya jinsi uchaguzi utakavyofanyika, Bunge la Kenya limeridhia na kuupitisha, sasa Vyama vya Upinzani ambavyo vina wawakilishi Bungeni vinataka kuitisha maandamanio nchi nzima ya kupinga na kumshikiza raisi wa nchi hiyo asisaini kuwa Sheria, sasa Bunge lina maana gani, kama kila mtu asipokubaliana na jinsi Bunge lilivyopitisha basi huingia barabarani kufanya uharibifu ili kushinikiza matakwa yake?

Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!
Kwa kweli kama katiba inayotakiwa ni hii inayotoa Uhuru wa kupitiliza, mtu anamtukana hadi mkuu wa nchi bora tubaki na katiba yetu, ili tuendelee kuheshimiana,
 
Una jua sisi VIUMBE VYEUSI huwa tuna matatzo sana maana kamwe HATUWEZI RIDHIKA KWA KILE TUNACHOKIITAJI PALE TUNAPOKIPATA.....haya yanayotokea NCHINI KENYA ni mfano tosha kabsa ya HATA SISI HUKU siku tukipata hitaji la kuwa na TUME HURU ya UCHAGUZI still bado kutatokea WAPUUZI kusema TUME HII YA UCHAGUZI SI HURU...KAMA INAVYOTOKEA SASA NCHINI KENYA......watanzania WENZANGU TUTUNZE AMANI YETU hili ni JAMBO MOJA SANA LA muhimu....KINACHOTURUDISHA NYUMA MPAKA SASA NI KUWA NA VIONGOZI WA UPINZANI WAAJABU SANA wanaoangalia KUUDUMIA matumbo yao Badaala ya kutumiza WAJIBU WAO KAMA VIONGOZI....
Mods wekeni kitufe cha dislike, posts kama hizi zinanipa kinyaa mno.
 
Kwahiyo na wakenya hawakuwa na nia ya dhati kabisa
Kenya hakuna chama dola kila chama kinajua kitapita tu kwa hiyo walianzisha kwa nia njema kabisa sema mchakato ukaingiliwa na wahuni wachache wenye uroho wa madaraka na ukabila.
tofauti kabisa TZ mambo mengi mnayaanzisha kisiasa tu ila hamnaga nia ya dhati mfano kilimo kwanza,BRN, Mchakato wa katiba , serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar na mifano mingine kibao huwa HAMTAKI kabisa yawepo sema mnayafanya kwa kuigiza tu ili mjisafishe kwa wananchi na ndio maana yoote yameishia kufeli tu.
 
Katiba mpya sio suluhu ya kila kitu!
Ni suluhu ya mambo mengi maana hutoa muongozo wa mambo yote muhin ya nchi na kila mwananchi anatakiwa kuyafuata so ni kitu muhim sana. Na inaweza kuwa suluhisho la kila kitu kama viongozi hawatoingilia utekelezaji wa katiba hiyo mfano tume huru zanzibar lakini bado mkapa alienda unguja kumshinikiza jecha kufuta matokeo. sasa hapo kuna utekelezaji wa katiba kihaki kabisa???
muhim ni wote kuheshim katiba na inachosema wote tufuate ingawa kwa watu kama magu wanaosema katiba itaishia kabatini tu mpka anyooshe nchi kwanza inatoa picha jinsi katiba zinavyominywa na viongozi na kupelekea KATIBA KUTOKUWA SULUHISHO LA KILA KITU as u said.
 
Nimesoma kwamba kuna mswada umepelekwa Bungeni kuhusu baadhi ya marekebisho ya jinsi uchaguzi utakavyofanyika, Bunge la Kenya limeridhia na kuupitisha, sasa Vyama vya Upinzani ambavyo vina wawakilishi Bungeni vinataka kuitisha maandamanio nchi nzima ya kupinga na kumshikiza raisi wa nchi hiyo asisaini kuwa Sheria, sasa Bunge lina maana gani, kama kila mtu asipokubaliana na jinsi Bunge lilivyopitisha basi huingia barabarani kufanya uharibifu ili kushinikiza matakwa yake?

Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!
dont generalise eti BUNGE LIMEPITISHA..... we ulifuatilia step by step na hoja za wapinzani dhidi ya serikali??? Hukuona nguvu kubwa iliyotumiwa na watawala kuhakikisha muswada ule unapitishwa ambao kila mwenye akaili anajua ndio utakuwa kaburi la upinzani mwakani. Ni kama hapa tanzania useme eti RASIMU YA CHENGE ILIRIDHIWA NA BUNGE bila kufuatilia process nzima ndo utagundua wapinzani hoja zao zilitupwa mbali na kwa kutumia mabavu wakaweka mapendekezo ya upande mmoja tu.
Ndio ambacho kinatokea kenya yaani wanataka waweke maamuzi yatakayofavor upande mmoja wakati uchaguzi ni wa watu wote... sasa ulitaka oding afanyeje??
 
Sasa hayo maneno gani tena. Saa hizi wanauana kupitia mgomo wa madaktari na manesi wote nchi nzima kwa wiki 3 sasa. Si watamalizana sasa kama na hayo maandamano ya Wajaluo yakianza?

Something must be done now by the international community and especially the east african community before such a thing happens.
acha ubaguzi mkuu... r u sure ODM ipo ujaluoni tu?? hivi hujui ODM ndio chama kikubwa zaidi kenya kwenye uwakilishi bungeni hao jubilee ni ushirikiano tu ila kila chama kikisimama peke ake ODM kipo na wawakilishi wengi zaidi sasa unataka kusema majimbo mengi ya uchaguzi yako ujaluoni???
Acha ubaguzi wa kiccm kule zenji unaosema cuf ni ya machotara na mahizbu afu ccm cha watu weusi.
 
Back
Top Bottom