Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nimesoma kwamba kuna mswada umepelekwa Bungeni kuhusu baadhi ya marekebisho ya jinsi uchaguzi utakavyofanyika, Bunge la Kenya limeridhia na kuupitisha, sasa Vyama vya Upinzani ambavyo vina wawakilishi Bungeni vinataka kuitisha maandamanio nchi nzima ya kupinga na kumshikiza raisi wa nchi hiyo asisaini kuwa Sheria, sasa Bunge lina maana gani, kama kila mtu asipokubaliana na jinsi Bunge lilivyopitisha basi huingia barabarani kufanya uharibifu ili kushinikiza matakwa yake?
Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!
Nina uhakika kabisa kwamba Wakenya (baadhi) hawajaielewa Katiba yao, na wala pia hawaelewi maana ya demokrasia, wanafikitri kwamba Demokrasia ina upande mmoja tu, kumbe demokrasia pia maana yake ni Haki, haki ya pande zote mbili kusikilizwa pia na siyo moja tu!