Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,751
48,401
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.

Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.

Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.

The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.

Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.

Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.

 
Mara nyingi tunawaambia humu kwamba sisi Wakenya tunakipenda Kiswahili, ndio lugha yetu ya taifa inayotambulika kikatiba, tunakitumia mitaani na kote kote, sema ni ile hatuna ubumbumbu wa kujifungia kwenye lugha moja.
Tunatumia Kiswahili, Kingereza na lugha zetu za asili. Leo Kiswahili kinazagaa dunia na kupata umaarufu kwa ajili ya jitihada za Wakenya, tunakitangaza na kukipigia debe lakini pamoja na hayo tunaonyesha umahiri mkubwa kwa kumudu lugha zingine.
Utafiti wa sayansi ulishabaini kwamba ujanja wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua hata uwezo wa kutumia ubongo na kufikiria.

Afrika Kusini wamesaini makubaliano na Kenya ya kuanza kufundisha Kiswahili kwenye mtaala wao, hapo tayari maelfu ya Wakenya watahitajika kwenda kukifunza, ikumbukwe kule Uchina na Japani Wakenya ndio wanafunza Kiswahili kwenye vyuo vyao.

Waziri wa elimu wa Afrika Kusini yupo Kenya na amehudhuria utiaji saini wa hayo makubaliano.
------------------------------------------

zytgdhsdkzc2ub3dkz725cde613696019.jpg

Principal Secretary for Early Learning and Basic Education, Dr. Belio Kipsang, Cabinet Secretary for Education Prof George Magoha (C) and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga. [Photo: Courtesy]


South Africa will teach Kiswahili in her Educational System after signing an agreement with Kenya
This precedes yesterday’s meeting in which Cabinet Secretary of Education Prof George Magoha and South African Minister for Basic Education Angelina Matsie Motshekga signed a Memorandum of Understanding for the respective countries.


The Signing of the MOU paves way for the introduction of Kiswahili teaching in South Africa, which will add to the bulk of many languages taught in the country.


Speaking at his office in Jogoo House, Nairobi, after signing the MOU; Prof Magoha lauded the development as a step forward to strengthen collaboration between the two countries.
Motshekga on the other hand said that 40 per cent of learners in South Africa are currently are either learning or speaking Kiswahili. This, she said would be beneficial to developing country’s educational system.

hongereni Wakenya.

tuacheni Watz bana...sisi tupo busy kutekana na kupotezana huku!
 
Mnatuharibia tu kiswahili nyinyi.

Can you imagine mtu anazungumzia eti "County ya Kiambu" kwani County ni kiswahili?

Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
 
Low IQ Post. Kwa hiyo Kanada akiingia makubaliano na China au Korea kufundisha Kiingereza badala ya USA au Uingereza kuna tatizo? Au Belgium akaingia makubaliano kufundisha Kifaransa badala ya Ufaransa au Ivory coast kutakuwa na tatizo?

AK wanaweza hata kuingia makubaliano na Kongo Mashariki kufundisha Kiswahili sioni tatizo hapo.
 
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Utasikiwa " Niko kwa job nikitoka naii nitapita kukuja pita wewe twende kwa mama ngina "

Tangu lini watu wa korogocho wakajua kiswahili
 
Ungejua historia ya Kiswahili hungeandika huu upupu, Kiswahili chenyewe hakijajitosheleza kwa maneno, hivyo inabidi kuendelea kutohoa maneno kutoka kwenye lugha zingine zikiwemo zetu za asili.
Nyie hapo kwenu nimekua nikiona matangazo eti data datani....ndio Kiswahili hicho?
Data datani sio lugha rasmi mzee, kwenye kiswahili hayo maneno yanaitwa MISIMU huzuka na kutoweka.

Lakini nyinyi mmehalalisha kabisaa matumizi ya neno "COUNTY"
Nakufundisha kuanzia leo Neno "County" kiswahili chake ni "JIMBO"
 
Ni kweli lakini neno County halijawahi kuwa sehemu ya kiswahili, Kiswahili cha County ni Jimbo
Umenoa, tena kwa mbali sana. Ungesema 'county/kaunti' au gatuzi(ambalo ndio jina sahihi) ni kata ningekuelewa. Kila gatuzi lina majimbo kadhaa ndani yake.
 
Back
Top Bottom