Wakenya bila Tanzania Hamna kitu

osmaney

JF-Expert Member
Jan 18, 2017
1,041
998
Habari wanaJF

Poleni na hongereni kwa shughuli mzifanyazo.
Hakika ninyi ni wapambanaji. Kwa wale wafanyao shughuli za halali MUNGU awajalie mpate matunda ya kazi zenu.

Nisizunguke Sana, Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. unaeza ukakisoma tena. Apo sawa

Basi leo katika pitapita zangu NAIRALAND FORUMS. Kwa wale ambao hamuijui ni forum falani ivi kama zinafanana ivi na JAMII FORUM. kupita uko nikakutana na ndugu zetu wakenya wazee wa kujipambanisha


Katika huo uzi ulikua unazungumzia kwamba Kenya imewazidi karibu kila kitu Nigeria.. ila hivi viumbe dahh

Katika kurasa za kwanza walijitetea vizuri, lakini baadaye wakaanza kuzidiwa bhana. Wanaigeria sio haba. Nadhani wakenya wenyewe wanajua

Kuona wanazidiwa wakenya bila aibu wakaanza kutumia vitu vya Tanzania Kama vile taasisi za elimu,afya,miji mbalimbali na hata miradi mikubwa ya Tanzania.. hivi viumbe dahh na ubaya walikua wanatumia Kama vyao.


Ndugu zangu wakenya mnakwama wapi..

Sema mnatukubali Sana tz


Fuata link
https://www.nairaland.com/3327789/kenya-ahead-nigeria-all-aspect/8116#91169230


Nawaongezea na baadhi ya screen shot
Screenshot_20200628-144830.jpg
Screenshot_20200628-145011.jpg
Screenshot_20200628-144748.jpg
Screenshot_20200628-144558.jpg
Screenshot_20200628-144508.jpg
Screenshot_20200628-144457.jpg
Screenshot_20200628-144446.jpg
Screenshot_20200628-144435.jpg
Screenshot_20200628-144422.jpg
Screenshot_20200628-144413.jpg
Screenshot_20200628-144405.jpg
Screenshot_20200628-144346.jpg
Screenshot_20200628-144314.jpg
Screenshot_20200628-144233.jpg
Screenshot_20200628-144158.jpg
Screenshot_20200628-144247.jpg
 
Habari wanaJF

Poleni na hongereni kwa shughuli mzifanyazo.
Hakika ninyi ni wapambanaji. Kwa wale wafanyao shughuli za halali MUNGU awajalie mpate matunda ya kazi zenu.

Nisizunguke Sana, Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. unaeza ukakisoma tena. Apo sawa

Basi leo katika pitapita zangu NAIRALAND FORUMS. Kwa wale ambao hamuijui ni forum falani ivi kama zinafanana ivi na JAMII FORUM. kupita uko nikakutana na ndugu zetu wakenya wazee wa kujipambanisha


Katika huo uzi ulikua unazungumzia kwamba Kenya imewazidi karibu kila kitu Nigeria.. ila hivi viumbe dahh

Katika kurasa za kwanza walijitetea vizuri, lakini baadaye wakaanza kuzidiwa bhana. Wanaigeria sio haba. Nadhani wakenya wenyewe wanajua

Kuona wanazidiwa wakenya bila aibu wakaanza kutumia vitu vya Tanzania Kama vile taasisi za elimu,afya,miji mbalimbali na hata miradi mikubwa ya Tanzania.. hivi viumbe dahh na ubaya walikua wanatumia Kama vyao.


Ndugu zangu wakenya mnakwama wapi..

Sema mnatukubali Sana tz


Fuata link
https://www.nairaland.com/3327789/kenya-ahead-nigeria-all-aspect/8116#91169230


Nawaongezea na baadhi ya screen shot View attachment 1491487View attachment 1491488View attachment 1491489View attachment 1491490View attachment 1491491View attachment 1491492View attachment 1491493View attachment 1491494View attachment 1491495View attachment 1491496View attachment 1491497View attachment 1491499View attachment 1491500View attachment 1491501View attachment 1491502View attachment 1491504
Kenyans and ignorant Nigerians in the forum.
 
Walisahau kuzipost dreamliner,na Airbus za ATCL ,Kuna siku watakuja sema ni zao.
 
Yani kwani hamuoni hizo post zote ni za mtu mmoja 'Anael' huyu mtu mbona Kama ni mtanzania anasifia Tanzania kwenye post ambayo sio. Jamani hivi wakenya wametokesea nini? Mbona chuki ambazo hazina umaana, watanzania tuna matitizo mengi sana sana sana. Acheni upuuzi hautatujenga hata kidogo. Kama kenya hawa tupendi hayo tuwaache nayo haya tuuhusu. Si tuzingatie changamoto zetu Kama nchi
 
Back
Top Bottom