Wake za watu mjiheshimu!!! Ukibanwa rudi kwa mmeo!!

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,492
Kuna ka nesi muke ya dokita kana chura ya haja kalitokea kunizoe zoea! Siku ilee nilikuwa zamu night, mida ya saa 6 usiku hivi kazi zikiwa zimepungua pungua! Ule utani haukuwa mzuri! Kalikuja kwa ofisi kakaanza kupandisha gauni huku kakinambia niangalie chupi yake mpya nyeupe! Kalipoinua mguu na kuuweka mezani nilihisi suruali yangu kuongezeka volume...huku kamejisogeza kibumbu kikiwa karibu kabisa usoni mwangu na miguno ishaanza, mapaja meupeee!!

Aisee mpaka leo sijafahamu ni nguvu gani ilinijilia mpaka nikatoka nje na kutokomea kizani!

Kuoa nesi ni mtihani!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ka nesi muke ya dokita kana chura ya haja kalitokea kunizoe zoea! Siku ilee nilikuwa zamu night, mida ya saa 6 usiku hivi kazi zikiwa zimepungua pungua! Ule utani haukuwa mzuri! Kalikuja kwa ofisi kakaanza kupandisha gauni huku kakinambia niangalie chupi yake mpya nyeupe! Kalipoinua mguu na kuuweka mezani nilihisi suruali yangu kuongezeka volume...huku kamejisogeza kibumbu kikiwa karibu kabisa usoni mwangu na miguno ishaanza, mapaja meupeee!!

Aisee mpaka leo sijafahamu ni nguvu gani ilinijilia mpaka nikatoka nje na kutokomea kizani!

Kuoa nesi ni mtihani!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mlipokua incase wagonjwa maututi wa ajali wangefika....mgefanya nini? Mmepewa dhamana ya kusimamia wa Tz mnaanza mambo ya kufurahisha nafsi zenu watumishi wa kitanzania ni shida sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom