Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,932
Haa haaae bwana eere!!sentesi ya mwisho hio
Haa haaae bwana eere!!sentesi ya mwisho hio
Halafu anatamba barabarani mie Mme wa mtu mmmm
Nimecheka balaa
siwadanyi...huo ndo ukweli....UKITAKA UMFAIDI VIZURI...ISHI MBALI NA ANAPOISHI,,,,Unajua Mahusiano na Mke wa mtu ukiishi karibu naye...ni rahisi kukamatika...hasa kwa jamii inayowazungukaUnawadanganya wenzio
inaonekana mzoefu sana mzeeUkitaka umfaidi mke wa Mtu....usiishi Karibu anapoishi yeye...ishi mbali kidogo...Muwe mnakutana huko....Apo utafaidi sana
Hivi ulivyomsifu mtoa mada ni dalili za wewe kuliwa. Hiyo staili aliyomaliza nayo pia ni mojawapo ya mbinu za kumla mke wa mtuHapo mwisho umemaliza vizuri
Ngoja waje tuone wanasemaje
Napingana na wewe kwa asilimia 100%, siyo kweli hata kidogo kuwa Mwanamke hawezi kujizuia pale anapotongozwa, siyo kweli.
Ukiona umemtongoza Mke wa mtu na amekukubalia basi fahamu kwamba amekubali kufanya kwa hiari yake mwenyewe na siyo kwamba ameshindwa kujizuia.
Amini nakwambia, wapo Wanawake ambao wameolewa na kamwe hawako tayari kusaliti ndoa zao, wanajiheshimu na wana misimamo dhabiti.
Kitendo cha Mwanamke kufanya "zinaa" hiyo ni tabia ya mtu husika na wala haihusiani na maumbile au madhaifu ya kuwa Mwanamke.
Ingelikuwa kuzini ni sababu ya madhaifu ya kimaumbile basi MUNGU asingeweka adhabu kali kwa kila anayefanya zinaa.
Tendo la "zinaa" limetengewa adhabu kali sana, iwe kwa Mwanaume au Mwanamke, wote wataadhibiwa ipasavyo.
Ikimbieni zinaa, dini zote zinaelekeza na kufundisha kuwa "zinaa" ni mbaya sana.
Hivi ulivyomsifu mtoa mada ni dalili za wewe kuliwa. Hiyo staili aliyomaliza nayo pia ni mojawapo ya mbinu za kumla mke wa mtu
Hoja yangu ni kwamba, kitendo cha Mke wa mtu kukubali kufanya "zinaa" na wewe, haisababishwi na mapaungufu au madhaifu ya "kimaunbile". Ni kitendo cha "hiari" kabisa na Mwanamke husika anao uwezo wote wa kukataa au kukubali hata kama utamshawishi kwa mbinu zozote zile, bado anayo mamlaka na uwezo wa kukataa.Sasa ndugu yangu mbona unakuwa mkali na mpole kwa wakati mmoja? Twende taratibu tu.
Unasema unapingana na hoja kwa 100%, wakati huo huo UTETEZI wako unaishia kusema 'wapo' wanawake wenye misimamo!
Ndiyo wapo, je ni asilimia ngapi?
Chagua kujifariji, au fanya jaribio... tongoza 'siriazi' hao wake za watu (au hata huyo mkeo) kisha uone kwenye 10 wangapi wametick.
Kisha uje utupe mrejesho.
Hoja yangu ni kwamba, kitendo cha Mke wa mtu kukubali kufanya "zinaa" na wewe, haisababishwi na mapaungufu au madhaifu ya "kimaunbile". Ni kitendo cha "hiari" kabisa na Mwanamke husika anao uwezo wote wa kukataa au kukubali hata kama utamshawishi kwa mbinu zozote zile, bado anayo mamlaka na uwezo wa kukataa.
Na katika hilo napingana na wewe. Hakuna madhaifu yoyote ya kimaumbile.
Madhaifu ya kimaumbile unamaanisha nini, na kivipi yanahusiana na hoja yangu?
Umesahau ulichokiandika kwenye "uzi" wako? Hiyo hapo 👆 ni sehemu tu ya hoja yako dhaifu kuhusu WanawakeMwanamke analaumiwa bure tu, ukweli ni kwamba HANA UWEZO wa kujilinda dhidi ya mashambulizi.
Itokee tu mwindaji hajampatia sawa sawa katika udhaifu wa hisia zake, hii haijalishi HADHI wala UMRI wa mwanamke huyo.
Umesahau ulichokiandika kwenye "uzi" wako? Hiyo hapo ni sehemu tu ya hoja yako dhaifu kuhusu Wanawake
inaonekana una uzoefu sanaPamoja na uwepo wa kifiro, mapanga, laana, ukimwi, homa a ini,beleshi, spana na bisibisi itoshe tuu kusema wake za watu ni watamu, mtu ukiuingiza booni kama kuna vispringi vinabana bolo na joto taamu, waaai wacha tuu tuiwahiwa kweye fumanizi basi
eti muuza mkaa ni mcheshi, lakini nimwanaume, ila umesahau wanawake vichaa na wenye matatizo ya akili hupata mimba na kuzaa watoto nani huwapa hizo mimba?Wanatumia HISIA zaidi, kama sio HISIA tu kwenye mambo yetu yale.
Mwanamke anaweza kuliwa kisa tu muuza mkaa ni mcheshi sana!