Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Bramo wanawake wana mambo mengi sana ukiyafikiria unaweza kukesha..
Nikiwa naangalia tamthilia na mamawatoto utakuta ananiuliza umekiona kile kitopu??.
Au umeliona lile shati au ile jeans??..wakati mie sina kabisa concetration na hiyo kitu..
Macho yao yanaangalia tofauti na ya kwetu..
Naunga mkono hoja aisee...
Siyo kama nawakashifu kina mama ila ukweli ni huu: Mnaweza angalia tamthilia pamoja, kitu cha kijinga kwako yeye anaona cha maana na atakuuliza maswali ya hajabu mpaka unashikwa na hasira wakati mmekaa wote na mnaangalia ile tamthilia. Wewe utaona jamaa ana bonge la jumba na ana demu wa nguvu utasikia wivu kuwa na uwezo kama ule hivyo utawaza ufanyeje ili ufanikiwe, yeye atafikiria vitopu, mawigi na viatu vya Beyonce na namna utakavyompa hela akatafute madukani ili ajionyeshe kwa wenzake na mijibaba wengine, yaani basi tu. Nyie kina mama wa utawala wa Kikwete, kweli mna matatizo.