Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,207
Nimeona mtandaoni habari hii, hakika imenifikirisha sana huu ya hatima ya wake wa viongozi wetu wanasiasa wanao jisahau kuwa wana wajibu mkubwa wa kuwaonya na kuwabadili tabia waume zao kwani ndio wajibu wao na itasaidia sana kuwarudisha kwenye mstari.
Baada ya kumuona mke wa Albashiri akipelekwa jela, nimemkumbuka mke wa Rais Gabgo ambaye naye yalimkuta haya.
Wajiulize sana waonapo waume zao wanaimbwa na kutukuzwa kama Mungu jee ni kwa ukweli au wame engage woga?
Wanapotukana watu wazima hadharani je wanaitambua hasira na uchungu wa kudhalilishwa? Je kama huyo atukanwaye hadharani ndio atakuja kuchukua ofisi itakuwaje?
Wakichekea tabia mbovu watajikuta nao ni sehemu ya Ku suffer pamoja na familia zao. Na hakuna maisha mabaya kama ya kuanzia utukufu na kuishia jela
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kumuona mke wa Albashiri akipelekwa jela, nimemkumbuka mke wa Rais Gabgo ambaye naye yalimkuta haya.
Wajiulize sana waonapo waume zao wanaimbwa na kutukuzwa kama Mungu jee ni kwa ukweli au wame engage woga?
Wanapotukana watu wazima hadharani je wanaitambua hasira na uchungu wa kudhalilishwa? Je kama huyo atukanwaye hadharani ndio atakuja kuchukua ofisi itakuwaje?
Wakichekea tabia mbovu watajikuta nao ni sehemu ya Ku suffer pamoja na familia zao. Na hakuna maisha mabaya kama ya kuanzia utukufu na kuishia jela
.
Sent using Jamii Forums mobile app