Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Mugishagwe

JF-Expert Member
Apr 28, 2006
300
58
Mkewe ndugu Karume Shady yuko hapa Berlin .Kuna maonyeshoi makubwa sana Utalii yanaitwa ITB na Tanzania wameleta makampuni yapatayo 70.Katika msafara huo wa Zanzibar yuko Mama Shady ambaye sasa kwa status yake Ubalozi hawatulii wana hangaika naye kwa kila hali .Hizi ni gharama na bado sijajua kafuata nini .Kwa mbali napata fununu eti amekuja kuongeza nguvu sijui nguvu kazi kwenye maonyeshao haya .Nimelazimika kuuliza kama kuna mtu anajua labda huyu Mama ni mwajiriwa wa Wizara ya Utalii bara ama visiwani .Vinginevyo nimebaki nashangaa kilicho mleta au labda ana kampuni ya utalii kaja mwenyewe kugawa Brochures nk .

Maoni nadhani huu ni mzigo namatumizi mabaya ya madaraka na pesa ya mlipa kodi .Hawezi kusema kama kushuhudia ufunguzi wa maonyesho kwa kuwa naamini hata kutambuliwa na wenyeji ambao ni Ujerumani hawajui.Ubalozi sasa una kazi ngumu na yeye kaja na watu wake .Mnaojua mambo hebu karibuni mseme kama kuna la maana katika hili atakuwa kaja kufanya kwa hali kama hii .
 
Last edited by a moderator:
Hapo Berlin balozi wetu nadhani ndugu yake rais wa ZNZ. Na yuko hapo miaka mingi tuu

tukisema Foreign imeoza kuliko BOT tunaambiwa tunafanya fitna.
 
Hapo Berlin balozi wetu nadhani ndugu yake rais wa ZNZ. Na yuko hapo miaka mingi tuu

tukisema Foreign imeoza kuliko BOT tunaambiwa tunafanya fitna.

Hapana GT .Kumbukumbu zako ni za zamani.Ila kwa sasa Kuna Balozi mpya mzee wa Kihaya Karume yuko Italia .Naombeni kujua kama Shady kaja kufungua maonyesho kama wanavyo dai kweli na maonyesho yapi wakati yalisha anza .
 
Bhojo! ulitaka aje nani? labda katumwa na mmewe! huko kuchachawa ni uoga tu wa watz, First lady Shadia yuko peace tu. uwe na amani.
 
Bhojo! ulitaka aje nani? labda katumwa na mmewe! huko kuchachawa ni uoga tu wa watz, First lady Shadia yuko peace tu. uwe na amani.

eddy una harufu ya kukaa upande wa mafisadi wewe lakini nakupa benefit of doubt kwanza .Mimi nimeuliza huyu kama kaja na msafara mkubwa wa wazanzibari.Haya ni maonyesho tena biashara si mchezo .Yeye nafasi yake ni ipi katika kundi hili ? Kuna gharama kibao hapa.

Lakin pia eddy unaweza kujibu bila kusema bhojo na ukasikika .
 
Mkewe ndugu Karume Shady yuko hapa Berlin .Kuna maonyeshoi makubwa sana Utalii yanaitwa ITB na Tanzania wameleta makampuni yapatayo 70.Katika msafara huo wa Zanzibar yuko Mama Shady ambaye sasa kwa status yake Ubalozi hawatulii wana hangaika naye kwa kila hali .Hizi ni gharama na bado sijajua kafuata nini .Kwa mbali napata fununu eti amekuja kuongeza nguvu sijui nguvu kazi kwenye maonyeshao haya .Nimelazimika kuuliza kama kuna mtu anajua labda huyu Mama ni mwajiriwa wa Wizara ya Utalii bara ama visiwani .Vinginevyo nimebaki nashangaa kilicho mleta au labda ana kampuni ya utalii kaja mwenyewe kugawa Brochures nk .

Maoni nadhani huu ni mzigo namatumizi mabaya ya madaraka na pesa ya mlipa kodi .Hawezi kusema kama kushuhudia ufunguzi wa maonyesho kwa kuwa naamini hata kutambuliwa na wenyeji ambao ni Ujerumani hawajui.Ubalozi sasa una kazi ngumu na yeye kaja na watu wake .Mnaojua mambo hebu karibuni mseme kama kuna la maana katika hili atakuwa kaja kufanya kwa hali kama hii .

Tatizo la uongozi wa kikoloni tuliorithi ni kuwa viongozi wetu tumewafanya miungu wadogo. Kwanini matumizi ya ofisi ya raisi yasiwekwe wazi kama mwanzo wa uwazi kwa wizara nyingine?
 
Tatizo la uongozi wa kikoloni tuliorithi ni kuwa viongozi wetu tumewafanya miungu wadogo. Kwanini matumizi ya ofisi ya raisi yasiwekwe wazi kama mwanzo wa uwazi kwa wizara nyingine?

Naamini watu wa Diplomasia na mambo haya wanasoma hapa mtu atupe undani wa hili tukio jamani .Kitu kinafanyika ?
 
Naamini watu wa Diplomasia na mambo haya wanasoma hapa mtu atupe undani wa hili tukio jamani .Kitu kinafanyika ?

Forget about this

hao unawaita wana DIPLO-MAS-IA hizi haziwakosehi usingizi

What you need ni WHISTLEBLOWER wa nguvu kama wa kule ATC kama huoana MEMBE anamtuma ASSA MWAMBENE aje kujibizana na watu humu
 
Hivi mama Karume sii 1st lady kama Mke wa JK? Mbona mama Salma alienda Seol ktk mkutano watu hawakusema?

Haya ndo marupurupu ya kuwa 1st Lady...(Kutoa msukumo ktk kutangaza makampuni Utalii Tz na Zenj???)!
 
Hivi mama Karume sii 1st lady kama Mke wa JK? Mbona mama Salma alienda Seol ktk mkutano watu hawakusema?

Haya ndo marupurupu ya kuwa 1st Lady...(Kutoa msukumo ktk kutangaza makampuni Utalii Tz na Zenj???)!

Salma alienda kwenye mkutano .Huyu kwenye maonyesho haya na hivi navyo ongea wame mwandalia dinner kuuubwa na amekuwa mtaani tu anafanya shopping ni hassle kwa Ubalozi na watumishi wa Ubalozi kwa ujumla .Kuna haja gani ya kufanya mambo ya namna hii ?
 
Salma alienda kwenye mkutano .Huyu kwenye maonyesho haya na hivi navyo ongea wame mwandalia dinner kuuubwa na amekuwa mtaani tu anafanya shopping ni hassle kwa Ubalozi na watumishi wa Ubalozi kwa ujumla .Kuna haja gani ya kufanya mambo ya namna hii ?

Mugishagwe,
Shopping ndugu yangu...??? Unaniambia mama Kikwete alipokuwa Seul hakufanya shopping hata kidogo?

Well kama amekuja na msafara mkubwa kuna haja kupiga kelele- kwa ni hii pesa yetu ya kodi kutumiwa vibaya!

Kama kuna mtu wa foreign JF anaweza kutupa context za ziara ya mama Karume!

Mnajua nchi zetu zina matatizo makubwa ..matanuzi!! We can not cut our coat according to our cloth... ndo matanuzi ya Bongo nchi maskini!
 
Salma alienda kwenye mkutano .Huyu kwenye maonyesho haya na hivi navyo ongea wame mwandalia dinner kuuubwa na amekuwa mtaani tu anafanya shopping ni hassle kwa Ubalozi na watumishi wa Ubalozi kwa ujumla .Kuna haja gani ya kufanya mambo ya namna hii ?

mkuu mtu kama huyu sidhani kama iko mbaya kutembezwa na ubalozi..akipata tatizo wa kwanza kulaumiwa itakua ni ubalozi si wengine...
 
mkuu mtu kama huyu sidhani kama iko mbaya kutembezwa na ubalozi..akipata tatizo wa kwanza kulaumiwa itakua ni ubalozi si wengine...

Issue ni kwamba kafuata nini ? Haumwi na si mfanya biashara lakini ana kundi kama mmoja wao walio kuja kazini ?Au ni mwajiriwa ndiyo swali langu .
 
The costs involved .
Kwa nini ukimbilie JF na swali kama hili wakati kwa maelezo yako inaonekana na wewe upo hapo hapo ujerumani, si umtafute na umuulize kaja hapo kufanya nini? Sidhani kama JF kuna msemaji wake hapa...
 
Kwa nini ukimbilie JF na swali kama hili wakati kwa maelezo yako inaonekana na wewe upo hapo hapo ujerumani, si umtafute na umuulize kaja hapo kufanya nini? Sidhani kama JF kuna msemaji wake hapa...

JF ni zaidi ya majibu ya huyu ndugu na hatakuwa na majibu na huenda angelijibu sawa na wewe ulivyo toa maoni yako .
 
Kwani kwenda kutalii Ujeruman nae HAIFAI?...Mugishagwe kuwa makini kaka!!!
 
hivi ni nini privilages za first ladies? je za mama Salma ambaye ni first lady wa jamhuri ya muungano zinalingana na za mama karume ambaye ni wa visiwani? ni nani anagarimia hizo, serikali ya muungano au serkali ya mapinduzi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom