Leo nimejionea Khanga moja imeandikwa UWMAKU/OAFLA hivyo ni vifupi vya maneno, umoja wa wake wa marais Africa. Khanga hii ilikuwa na maneno yanayoeleweka yanayosomeka, "Mtoto wa mwenzio ni mwanao, mkinge na ukimwi ". La ajabu kabisa kabisa ni ramani ya Africa, Ebu kweli inahitajika mwalimu kuwafundisha wake hawa wa marais kuwa Madagascar haiko ktk ghuba ya Sidra (Libya) ndani ya Bahari ya Mediterania bali ktk Bahari ya Hindi?