Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,352
- 32,990
Huu ni wito kwa wana Mtwara wote. Serikali ya CCM imezidi kuwaonea. Wanawaibia gas na sasa wameamua kugawa bandari yenu kwa Wanyonyaji kama mama anavyompa mwanae andazi. Kwa sasa inatosha na wote tuamke na kukataa dharau hii ya CCM na makuwadi wake. Haiwezekani upuuzi wao wa ATCL ulipwe kwa kugawa bandari yetu.
Enough is enough!
Enough is enough!