2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,980
- 4,451
Kumtafuna mdogo wa mkeo ni rahisi kuliko kumeza mate. Kuna visa vingi sana vilivyowatokea watu.
Mara nyingi sana huwa tunazungumza na mke wangu changamoto za ndoa ili kujilinda mapema afu badae tukaanza kulaumiana.
Kosa kubwa kabisa walaumiwe Wanawake wenyewe kwa sababu hizi
1. Akija ndugu yake usipompokea na kumsaidia UNA ROHO MBAYA
2. Akija mdogo wake"anakuja kutusaidia kazi"ukikataa HUPENDI NDUGU ZANGU
3. Mdogo (kike)wake akija atafanya makazi yote ya nyumbani hata sisizomuhusu kama[kutandika kitanda,kupasi nguo za mume, kupeleka maji bafuni n.k]
Sasa wanaume wakarimu na wenye huruma hutimiza kila kitu wakati huo mashemeji wanahisi kupendwa na kujaliwa sana kwa hiyo huenda mitego ikaanza bila dada kujua. Kinachobaki ni utekelezaji wa amri ya 6 tu.
Pia, hapa pia BBC👇👇 'Najuta kumuacha dada yangu awe na mazoea na mume wangu’ - BBC News Swahili
Ndoa hujengwa na wawili wanaopendana na kuheshimiana sana.
Hivi mwanamke unaejitambua unawezaje kumleta mdogo wako alale sebuleni ili tu akusaidie kazi wakati peke yako unazimudu?
Jiulize hivi mke ukimwa (mimba, kulea au kuugua kwa muda) nani atamuhudumia mumeo kama mdogo wako yuko hapo nyumbani?
Wake waume zenu wanapokataa kuwatunza wadogo zenu sio kama hawawapendi basi wanajua madhara huko mbeleni.
Mara nyingi sana huwa tunazungumza na mke wangu changamoto za ndoa ili kujilinda mapema afu badae tukaanza kulaumiana.
Kosa kubwa kabisa walaumiwe Wanawake wenyewe kwa sababu hizi
1. Akija ndugu yake usipompokea na kumsaidia UNA ROHO MBAYA
2. Akija mdogo wake"anakuja kutusaidia kazi"ukikataa HUPENDI NDUGU ZANGU
3. Mdogo (kike)wake akija atafanya makazi yote ya nyumbani hata sisizomuhusu kama[kutandika kitanda,kupasi nguo za mume, kupeleka maji bafuni n.k]
Sasa wanaume wakarimu na wenye huruma hutimiza kila kitu wakati huo mashemeji wanahisi kupendwa na kujaliwa sana kwa hiyo huenda mitego ikaanza bila dada kujua. Kinachobaki ni utekelezaji wa amri ya 6 tu.
Pia, hapa pia BBC👇👇 'Najuta kumuacha dada yangu awe na mazoea na mume wangu’ - BBC News Swahili
Ndoa hujengwa na wawili wanaopendana na kuheshimiana sana.
Hivi mwanamke unaejitambua unawezaje kumleta mdogo wako alale sebuleni ili tu akusaidie kazi wakati peke yako unazimudu?
Jiulize hivi mke ukimwa (mimba, kulea au kuugua kwa muda) nani atamuhudumia mumeo kama mdogo wako yuko hapo nyumbani?
Wake waume zenu wanapokataa kuwatunza wadogo zenu sio kama hawawapendi basi wanajua madhara huko mbeleni.