Wake mlioolewa: Kama unaishi na mdogo wako wa kike hapo kwa mumeo kaa ukijua mna-share

Ni heshima kubwa kumla mdogo wa mkeo, ni mke mdogo huyo.... kimila ukifiwa mkeo unapewa mdogo wake.
Haya mambo yaacheni tu kama hayajakutokea huwezi amini kuwayanatendeka,, sisi mdogo wetu alijazwa mimba kabisaa na lishemeji letu limemuoa dada yetu na tena wote ni Walimu...
 
Mbona mi nilikua nakaa Dar afu mdogo wa wife Arusha ila nikamuibukia hukohuko nikamla na tena hata kwangu alikuaga hajawahi kufika tulilianzisha tu fb. Ila si mdogo wa tumbo moja bhana
 
Back
Top Bottom